Hapa c itakuwa vigumu kidogo maana huwez kutuma bila kulipwa kwanza nami cwez kulipa kwanza bila kupata ama kuona mzigo.hahah hapana mkuu sipo kwenye orodha, kama upo serious naweza kukutumia kwa bus
Kaah sasa huoni yako ni ghali mwenzio hapo ni bufa na dekiMimi nina subwoofer kama hiyo, inasoma flash, ina redio, memory card, na pia remote yake. bei 100k tu inapungua kidogo ukiwahi. nicheck 0746330394
bei imepunguaKaah sasa huoni yako ni ghali mwenzio hapo ni bufa na deki
Imefika ngapibei imepungua
Imefika ngapi