Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 142
- 512
Kali sana..kibubu kikijaa nitaitaka ile SJG angalau ya 2015 au 16 ,,nifaidi namimiYes hii ni recent Import na iko DSM ina Km 103,000 cc 1990 AT Petrol na ni AWD
Hii Machine kwa sasa Bei zake ni 28++ Lakini Leo nitaitoa kwa OFA ya 27.2M Utasave 800,000 Tsh
Hapo utakukula na usajili, fire extinguisher na BIMA 3rd part Buree
OFA hii ni Ndani ya siku 7 tu wasiliana nasi sasa 0714547598
SJG nayo ni machine hopefully unaenjoyKali sana..kibubu kikijaa nitaitaka ile SJG angalau ya 2015 au 16 ,,nifaidi namimi
Ndio ndioSubaru mashine ya kazi
Hakika Mkuu sio mbaya na bei yake nafuuSJG nayo ni machine hopefully unaenjoy
Nakubali mkuu unatupa mwanga, hata siku tukimiliki tujue pakuanziaKwa MTU ambaye anajua mambo ya magari hii ni mashine ni zaidi ya gari . Subaru forester XT SH 5 ni gari tamu sana.
Nipo nayo hii gari huu ni mwaka wa pili haina shida yeyote zaidi ya kumwaga oil Tu.
Ukitaka kufurahi kwenye Subaru nunua yenye turbocharger
Tuletee uzi sasa kama ule wa rumion 😃Kwa MTU ambaye anajua mambo ya magari hii ni mashine ni zaidi ya gari . Subaru forester XT SH 5 ni gari tamu sana.
Nipo nayo hii gari huu ni mwaka wa pili haina shida yeyote zaidi ya kumwaga oil Tu.
Ukitaka kufurahi kwenye Subaru nunua yenye turbocharger
Nitakuja na uzi wake mkuu najua wengi wameomba niweke UziTuletee uzi sasa kama ule wa rumion 😃
Fanya hvyo mkuu maana nataka kujilipuaNitakuja na uzi wake mkuu najua wengi wameomba niweke Uzi