Wakati tukiona wimbi la tatu likianza nchi za jirani, Raisi wetu ana mpango gani kuhusu korona?
Mbona bado takwimu hazijaanza kutolewa?Je huko mikoani kuna vipimo?
Je hospitali zote hasa mikoani zimetayarishwa pamoja na vitendea kazi?
Je vyama vya madaktari vinasemaje?
Sent from my SM-A505FN using
JamiiForums mobile app