Viongozi wetu mara baada ya kuteuliwa inapaswa kwenda kozi ya DIPLOMASIA pia na SHERIA kwa ajili kuwapa msasa ya jinsi ya kujibu/kujenga hoja vinginevyo nchi hii tutatengeneza maadui dunia nzima juzi tu AG/JAJI WEREMA kawaudhi wabunge toka nchini ZANZIBAR, kasha Membe akarusha kombora RWANDA (na M23 yao) sasa Masele na Uingereza duuh! bado MALIMA na VATICAN
Dada kumbe kitambo unamjua huyo kijanajamani hii familia ya kikwete hii,chukueni ccm ila nchi ni ya kwetu wote,Stephen masele ni swahiba wa ridhiwani jamani kikwete na familia yako tuachieni shy mjini yetu,ohoooo tumechoka mbona mnaing'ang'ania hivi kuna nini huko mwataka kuiba?