Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
- Thread starter
-
- #21
Sikiliza naomb nimtetee.! We ndo huna akili, unanunua gari likutumikie au ulitumikie..???
Yeye kaona starlet n economy, haili mafuta bali inanusa! Na shida yake n limtumikie gari na sio yeye alitumikie gari! hujawah ona tajiri ana range na terios it mean range inakaa ndan den terios ndo inamtembeza mjini coz n economy!
So hawez kuwaza huko coz anajua life na sio kama ww unaekaa kuanz kusema watu vibaya!
Sikiliza naomb nimtetee.! We ndo huna akili, unanunua gari likutumikie au ulitumikie..???
Punguza tope kichwan maana naona hutumii akil ya kawaida kufikiria..
Hv unaelewa nn mtu akisema "ndoto yangu"
Yeye kaona starlet n economy, haili mafuta bali inanusa! Na shida yake n limtumikie gari na sio yeye alitumikie gari! hujawah ona tajiri ana range na terios it mean range inakaa ndan den terios ndo inamtembeza mjini coz n economy!
So hawez kuwaza huko coz anajua life na sio kama ww unaekaa kuanz kusema watu vibaya!
Punguza tope kichwan bro!
Hiv unalewa mtu akisema "gar ya ndoto yangu au nyumba ya ndoto yangu"
Ww unaongelea economy ya mafuta kwa kumilik kitu cha ndoto yako??
Mm mwenyewe namilik gar ila gar ninayomilik sio gar ya ndoto yangu..
Ss huyo bwana amekwambia gar ya ndoto yake ni starlet, upo hapo??
Milik starlet wakat unafanya michakato ya kufikia ndoto zako sio umilik starlet ndio useme gar ya ndoto yako..
Waza vizur bro!
Nauza gari yangu wadau. ni starlet, rangi ni silver na ipo fresh in kila kitu na katika hali nzuri sana.
Kwa mawasiliano zaidi
#Call 0756 517 588. kwa walio serious tuu.
Sikiliza naomb nimtetee.! We ndo huna akili, unanunua gari likutumikie au ulitumikie..???
Yeye kaona starlet n economy, haili mafuta bali inanusa! Na shida yake n limtumikie gari na sio yeye alitumikie gari! hujawah ona tajiri ana range na terios it mean range inakaa ndan den terios ndo inamtembeza mjini coz n economy!
So hawez kuwaza huko coz anajua life na sio kama ww unaekaa kuanz kusema watu vibaya!
Kilaza ww mwenye mawazo mgandoAsante Kiongozi kwa kunijibia huyu kilaza wa mawazo.
ila kumbuka kila mtu ana ndoto yake, ndoto yako isiwe universal
Subhanah watalaah........Sijataka ndoto yangu iwe universal, ila kwa mwanaume mtafutaji awaze starlet ndio gar ya ndoto yake naweza kumtia kidole cha t*k*o
Sijataka ndoto yangu iwe universal, ila kwa mwanaume mtafutaji awaze starlet ndio gar ya ndoto yake naweza kumtia kidole cha t*k*o
Mkuu weka bei hazarani tufanye biashara
Piga simu weweIko mji gani?
5.5mil mkuu