Mzee wanawake wengi wapo hivyo unaweza ukawa single maisha ukizingatia standardHivi umuhimu wa kujifunza 'Muandiko' na 'Kiswahili' kwenye shule zetu za msingi huwa ni nini kama 'Product' tunazokuja kutoa ndiyo hizi, watu hawawezi kuandika hata lugha yao ya Taifa kweli..??
Sisi walimu tumeamua tuwaletee vitu kama hivi.. kwenu walimwengu tusaidianeHivi umuhimu wa kujifunza 'Muandiko' na 'Kiswahili' kwenye shule zetu za msingi huwa ni nini kama 'Product' tunazokuja kutoa ndiyo hizi, watu hawawezi kuandika hata lugha yao ya Taifa kweli..??
Kama ndio swaga hizi. Huyo binti humpati ndugu tafuta hela umpate. Tena sio umpate, tafuta azichune.Acha ujinga hio ni live chart nilishamtongoza nyuma hapo ni funny thing then huezi kua na swaga kuliko nilizonazo jomba
Mzee sio namtongoza Hapo nilishamtongoza kabla sio kwa sms kachomoa na wala sijagusia ndoa, mbona nimesema Hapo juu.Sea Beast ushauri wangu ni kwamba ukimtongoza demu usiwe unaingia na gia ya kumuoa wewe toa hisia zako kwake mambo mengine yatajulikana kulingana mahusiano yatavyokuwa. La pili usimtongoze demu kwenye simu au kupitia message ni kosa kubwa mno. La tatu kabla ujamtongoza demu muhimu kusoma kwanza mood yake kwanza.
Unatumia WhatsApp gani mazee?. Kwasababu Sioni yeye akijibu hapo na sioni zile tiki mbili hapo kwamba ujumbe umepokelewa.Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.
Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi
Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
Ya ngoswe tumwachie ngoswe...Mambo yenu nawaachia wenyewe
HahahaHivi umuhimu wa kujifunza 'Muandiko' na 'Kiswahili' kwenye shule zetu za msingi huwa ni nini kama 'Product' tunazokuja kutoa ndiyo hizi, watu hawawezi kuandika hata lugha yao ya Taifa kweli..??
Hivi umuhimu wa kujifunza 'Muandiko' na 'Kiswahili' kwenye shule zetu za msingi huwa ni nini kama 'Product' tunazokuja kutoa ndiyo hizi, watu hawawezi kuandika hata lugha yao ya Taifa kweli..??
Kwani demu kakukataa kwa kigezo kipi? Tuanzie hapo kwanzaMzee sio namtongoza Hapo nilishamtongoza kabla sio kwa sms kachomoa na wala sijagusia ndoa, mbona nimesema Hapo juu.