Sofa za kisasa zinauzwa

Sofa za kisasa zinauzwa

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Zimetumika mwezi mmoja na nusu ni leza hazina mpasuko wowote

Sababu ya kuuza nataka badilisha mwonekano wa sitting room yangu

Zipo kubwa la watu wawili na madogo mawili

Yanapatikana mbezi luis dsm

Bei 430,000 ( maelewano yapo )


Nb: kama una tv lcd / led kuanzia 24 inchi nipe na 200,000 nikupe mzigo wote

0787 429 104.
 

Attachments

  • 20171230_121120.jpg
    20171230_121120.jpg
    117.5 KB · Views: 374
  • 20171230_121134.jpg
    20171230_121134.jpg
    88.3 KB · Views: 393
  • 20171230_141834.jpg
    20171230_141834.jpg
    157 KB · Views: 577
Ungetuonyesha na ulizonunua sasa hivi ili tupime km hizi ni za kisasa
 
Hiko ki tv show case unauza mkuu?
 
ZIMETUMIKA MWEZI MMOJA NA NUSU NI LEZA HAZINA MPASUKO WOWOTE
SABABU YA KUUZA NATAKA BADILISHA MWONEKANO WA SITTING ROOM YANGU
ZIPO KUBWA LA WATU WAWILI NA MADOGO MAWILI
YANAPATIKANA MBEZI LUIS DSM
BEI 430,000 ( MAELEWANO YAPO )

NB: KAMA UNA TV LCD / LED KUANZIA 24 INCHI NIPE NA 200,000 NIKUPE MZIGO WOTE
0787 429 104.
unazijua sofa za kisasa au unazisikia tu wewe?
 
Ok......Next time jaribu kujuwa Leather na Plastic
 
Nimependa dizaini ya sofa tu sio kitambaa chake,Laki mbili nikupatie kama upo tayari
 
haya wakuu mnanishambulia kuhusu ubora wa leather hiyo bt ukweli ni kwamba masofa ya bongo hiyo ndiyo leather wanayotengenezea kwa wingi sana haya basi nmeshusha mpaka 350,000 njoo mchukue niweke nyingine 0787 429 104
 
Fumua tengeneza zingine kaka
Hizo nzee sana
Ama rudisha bush kwa mshua wewe kamua kitu cha l
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom