Sofa sets for Sale

Sofa sets for Sale

ELIAS MICHAEL MORRIS

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
384
Reaction score
298
Ukitaka sofa set imara za aina tofauti tofauti zinapatikana na hata kama unataka 1 au mawili. Bei zetu ni nafuu sana na tunatoa warrant ya mwaka na nusu na pia ukitaka mafundi wa kukarabati (repea) wapo.

Tupo Mtoni Mtongani, Pugu Secondary, Keko na Tabata Dawasco, Dar es Salaam.
Contact: 0784133449/ 0621038229/ 0672236191.
eliusmoris2@gmail.com

1476337880162.jpg

1476337959569.jpg

1476337997142.jpg

1476338019200.jpg

1476338042821.jpg

1476338057075.jpg

1476338090658.jpg

1476338117374.jpg

1476338142465.jpg

1476338156924.jpg

1476338171258.jpg

1476338076788.jpg
 
Aisee Mpo vizuri sana.
Hivi ndio wajasiriamali wanatakiwa kuwa.
Umeweka Tangazo vizuri

Ila nakushauri pia tengeneza website,unajua dunia inaenda kisasa zaidi.Usijione ni mdogo kibiashara,unaweza kuwa mdogo ukakimbiza wakubwa.

Milard Ayo,alikuwa bwana mdogo sana,na aliwahi kuishi hapa Zanzibar,ila alikuwa anajituma na kujua anataka nini kwenye tasnia ya Habari pale ZBC,leo hii anakimbizana na wakubwa wenye kumzidi pesa na Elim.Ila yeye anapambana kwa kwenye ubora wa kazi na wepesi wa habari zaidi ikiwemo kujituma.

Mungu akubariki
 
Aisee Mpo vizuri sana.
Hivi ndio wajasiriamali wanatakiwa kuwa.
Umeweka Tangazo vizuri

Ila nakushauri pia tengeneza website,unajua dunia inaenda kisasa zaidi.Usijione ni mdogo kibiashara,unaweza kuwa mdogo ukakimbiza wakubwa.

Milard Ayo,alikuwa bwana mdogo sana,na aliwahi kuishi hapa Zanzibar,ila alikuwa anajituma na kujua anataka nini kwenye tasnia ya Habari pale ZBC,leo hii anakimbizana na wakubwa wenye kumzidi pesa na Elim.Ila yeye anapambana kwa kwenye ubora wa kazi na wepesi wa habari zaidi ikiwemo kujituma.

Mungu akubariki
Asante kaka kwa ushauri, hakika nitalifanyia kazi hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom