Sofa coach zinauzwa

Ayster

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
42
Reaction score
8
Habari

1. Sofa hizi nimezitumia mimi mwenyewe
2. Ni set ya watu 3 (3 seaters), watu 2 (2 seaters) na mtu 1 (one seater)
3. Sofa zipo sinza, Dar es Salaam.
4. bei ni sh. 500,000/-

Mwenye kuhitaji ani PM

Karibu
 

Attachments

  • IMG-20150110-WA0002.jpg
    113.1 KB · Views: 1,072
  • IMG-20150110-WA0003.jpg
    98.4 KB · Views: 1,036
bei sio mbaya, bahati mbaya umechelewa kuweka tangazo last week nimenunua za laki 8,
 
Habari

1. Sofa hizi nimezitumia mimi mwenyewe
2. Ni set ya watu 3 (3 seaters), watu 2 (2 seaters) na mtu 1 (one seater)
3. Sofa zipo sinza, Dar es Salaam.
4. bei ni sh. 500,000/-

Mwenye kuhitaji ani PM

Karibu

ni material gani imezitengeneza kama leather aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…