So sad

Simu ya mkopo shida ndi
 

Kamwe sitatoa bikira ya Mwanamke ambayeo sio mke wangu, Mnaona ni sifa ni ni upumbavu wa hali ya juu.

Mna manuksi na maroho / malaana na mabalaa ya ajabu kwa sababu ya huu ujinga na hamjitambui.

Hakuna fahari yeyote ya kutoa Bikra kwa mwanamke asiye mke wako, kwangu ni kadhia na uchafu to take that responsibility.

Only :

1. Spiritual people will understand.
2. Witches will understand.
3. Darkness will understand.

Stupid people will never understand!
 
Hujielewi bado, na bado ya dunia hayajui
 
Kuna ugonjwa wa wanawake unaitwa 'viginismus' ambao hata ukigewa(dudubaya's voice) huwezi fanya lolote, hilo sitaliongelea hapa.

Ninachohisi, yaweza kuwa umetumia ulaghai mwingi, ukaletewa K ya bure, hivyo hauna pupa wala hauna cha kupoteza.

Ungeliwekewa conditions ngumu za kumpata huyo binti na ukatozwa dau kubwa, waalah leo ungelimbikiri huyo binti, atake asitake.

Hakuna mwanaume anayezungushwa na kuhongeshwa hela ndefu, kisha akawa mtakatifu siku ya tukio, hayupo.

Ushindwe na hela ziliwe bure kweli, haiwezekani, hata mkongo ungelipaka ili punda afe lakini mzigo ufike.
 
😂😂😂Sure-mi sikuwa na cha kupoteza zaidi ya maneno, hajanizungusha inshort hasara ni muda wangu, nauli nenda rudi juu yake & tangu aondoke sjapokea simu yake tena: KWAKE NIMEFUNGA UKURASA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…