Sliding Skeleton Trailer

Westham

Member
Joined
Nov 7, 2013
Posts
23
Reaction score
0
1999 Sliding Skeleton Trailer, 14 Containers Locks,Drum Brakes,SuperSingle Tyres, Zimelipiwa ushuru zote, hazijafanya kazi Tanzania hata siku mmoja, zote zipo Vikindu kama unataka kuziona, Kwa mawasiliano zaidi UKtoTZ@gmail.com bei $13500 each.
 

Attachments

  • IMG-20130917-WA004.jpg
    119.4 KB · Views: 106
  • IMG-20130917-WA005.jpg
    73.9 KB · Views: 115
  • IMG-20130917-WA006.jpg
    120 KB · Views: 101
  • tra.jpg
    101.4 KB · Views: 109
  • trailer.jpg
    111.9 KB · Views: 113
1999 Sliding Skeleton Trailer, 14 Containers Locks,Drum Brakes,SuperSingle Tyres, Zimelipiwa ushuru zote, hazijafanya kazi Tanzania hata siku mmoja, zote zipo Vikindu kama unataka kuziona, Kwa mawasiliano zaidi UKtoTZ@gmail.com bei $13500 each.

Unatoa installments?? Nataka 3
 
Unataka installments ya malipo baada ya muda gani? Kuna Advance payment yoyote utalipa kwanza? Trailer zinabaki kwangu mpaka unamaliza malipo au unachukuwa trela zote? Installments ipo kwa maelewano. **Trailer mbili zimeshauzwa*
 
Tunakubaliana amount ya advance, duration ya payment, kadi unaweza kukaa nazo sio tatizo. Tutafte kwenye simu. Pm me your numbers!
 
Nikupe used Volvo FH12 380. Midlift 6x2 units mbili (2) zote ziko sawa sawa na nzima kabisa nikupe lorry 2 uniachie hizo trailer 3....
 
Nikupe used Volvo FH12 380. Midlift 6x2 units mbili (2) zote ziko sawa sawa na nzima kabisa nikupe lorry 2 uniachie hizo trailer 3....

Ahsante kwa Offer yako, Mimi sitaki gari nnauza Trailers tu, Ukifanikiwa kuuza gari zako njoo ntaakuzia Trailer.
 
mkuu hapa naona unaongelea skeleton tu, vipi kuhusu, normal trailler , n shi ngapi
 
mkuu, hizi FH12 unauza au?



Nikupe used Volvo FH12 380. Midlift 6x2 units mbili (2) zote ziko sawa sawa na nzima kabisa nikupe lorry 2 uniachie hizo trailer 3....
 
Trailer bado zipo, Hizi za njano kwa $11500, kwa mawasiliano UKtoTZ@gmail.com au 0714666766.
 

Attachments

  • ww.jpg
    76.9 KB · Views: 78
  • qq.jpg
    67.4 KB · Views: 76
  • q.jpg
    87 KB · Views: 77
  • w.jpg
    84.5 KB · Views: 78
Kaka hizo cab za 124 ni nzima? Mie nahitaji cabin complete mpaka vitu vya ndani
 
mkuu, hizi FH12 unauza au?
General8 mimi ninazo trailers hazija tumika TZ bado bei ni poa ni pm mkuu . Trailers zangu ni body type sio skeleton ni nzuri kwa cement mbao nk
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…