Rais halali wa JMT ni Dr. Wilbord Peter SLAA
Na huyu mey wa ilala nia Jerry Wiliam SILAA
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu huyu meya wa ilala jerry slaa,..ni coincidence au ccm walimweka makusudi ili jina dr slaa lisionekane kuwa unique kwamba anapotajwa slaa watu wajiulize ni slaa yupi???na ukifatilia utaona huyu bwana anapewa media coverage ya nguvu.,,nyi mnaonaje??