Habarini wakuu kama kawaida yangu huajindalia kasherehe ka birthday tarehe 29 feb sasa kwa mwaka huu hakuna tarehe29, ninabakia na umri wangu uleule au?
Habarini wakuu kama kawaida yangu huajindalia kasherehe ka birthday tarehe 29 feb sasa kwa mwaka huu hakuna tarehe29, ninabakia na umri wangu uleule au?
Pole sana Mkuu hubaki na umri ule ule maana miezi 12 inakuwa imekata hivyo si lazima kusubir kila baada ya miaka minne ndiyo usherehekee siku yako ya kuzaliwa unaweza kuamua kusherehekea February 28th au March 1. Happy belated birthday.
Habarini wakuu kama kawaida yangu huajindalia kasherehe ka birthday tarehe 29 feb sasa kwa mwaka huu hakuna tarehe29, ninabakia na umri wangu uleule au?