Sitta electronics tunatoa huduma zifuatazo

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,116
SITTA ELECTRONICS DAR ES SALAAM TZ 0766 10 27 10.
- Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk

- Tunaunda subwoofer znazoweza tumika kwenye bajaji, gari, nyumbani kulingana na uwezo wowote unaouhitaji na tunakupa na warant.

- Kama una vifaa au vyombo vya muziki vinakusumbua tupigie tunakuja mpaka ulipo na kufanya matengenezo.

- Tunafunga vyombo vya muziki aina zote.

- Tunapatikana Goba DSM.

- Tunafunga umeme wa sola n kufanya matengenezo yote ya vifaa vya solar.
 
Sehemu gani hapa goba niwatembelee ofisini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…