Ulitakiwa useme mwanzoni kwamba unajenga chumba, sio nyumba. Nyumba sio tako kwamba kila mtu analo.Soma hapa. Halafu ukimaliza utakuwa umemjua mjinga halisi kati ya mimi na wewe ni nani;
Hii ni ramani ya chumba kimoja pekee ambapo material ni milioni 2.7.
DML BUILDERS
Ramani ya Chumba kimoja
●1 masterbedroom
MAHITAJI
●Tofali za Msingi 250
●Tofali za Boma 520
●Cement mifuko 5(Msingi)
●Cement mifuko 8(Boma)
●Cement mifuko 4(Mkanda)
●Cement mifuko 3(Lintel)
●Nondo pc 5(Mkanda)
●Nondo pc 4(Lintel)
●Rings 7×4 pc 20(Mkanda)
5×4 pc 15(Lintel)
●Mchanga trip 1 lorry la 4 cubic metre.
●Kokoto trip 1 lorry la 4 cubic metre
●Mbao za 2×2 pc 18(Kupaua&brandering)
2×4 pc 20(Kupaua)
1×10 pc 10(Mkanda&Lintel)
1×5 pc 5(sahani)
●Misumari ya nch 4 kg 5(Kupaua)
nch 3 kg 3(Mkanda)
Kofia kg 5(Kupaua)
●Bati pc 10 za futi 10(Simba Dumu)
GHARAMA YA MATERIAL NYUMBA NZIMA NI ML 2.7
Acheni ujinga wenu huu. Tafuteni wake muoe. Kama huna mke huwezi kuwa na
NASISITIZA 😂Kwa wake za watu wanavoliwa mbususu me ndo stimu ya kuoa inakata kabisa,,Ndoa zilikua zamani bana sa hiv ni utapeli😂Kataa ndoa .... Hatuna stress ni uhalisia ... Vijana kataeni ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
NAKAZIAWala usihangaike na ndoa, relax kwanza, kula raha kwanza, baadae utakapo amua kuoa(kuishi na balaa ndani) oa! Watu wasikudanganye, kuishi na mwanamke kwa dunia ya leo ni shubiri, ni balaa!
TUMEKATAA NDOA NI UTAPELIMali zinapita but Family is FOREVER 😍💕💋🙏
usitutishe 😂We mchunge tu mke wako tena hakikisha hajiungi na vicoba😂Hata wakwako zamu itafika tu ataliwa tena bure au kwa pesa yako unayompa naye anatoa.
Huyo anaota [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha mawazo ya kijinga , hakuna nyumba mjini ya milion 15.
Alioa 2008 wakati Hana kitu kipindi hicho mkewe alikuwa mwajiriwa wa bank huko Moshi hivyo walivyozaa mtoto aliekuwa anagharamikia ni huyo mkee hivyo demu akamdharau jamaa Hadi wakatengana jamaa alikomaa na yesu tu mpaka 2016 ndo Mambo yake yakaanza kufunguka kipindi Cha magu hata Kuna tetesi alikuwa anamuombea Sana yeye na familia yake mpaka magu akamweka hapo kawe kwenye huduma hivyo kuanzia 2016 to date huduma yake ndo Mungu akaijenga vyema Sana na ikastawi vizuri tu mpaka Leo anafungua watu wengi Sana na sadaka anayoingiza kwa wiki hii ni Siri yangu Ila ni tajiri Sana Sana Sana na pia baada ya mkewe kuona jamaa katusua ndo alikuwa anajirudisharudisha Ila jamaa kamtolea nje na wameshatalakiana pia waumini wengi na wanawake wengi wanaji gongesha Sana kwake Ila jamaa anawatolea nje jamaa ana principle Sana na alianza kumtafuta Mungu since 1998 amezaliwa 1977 hio ni stori fupi tu ya maisha yake niliyoelezea Ila zingine acha nivunge tu na kwa ninavyoona jamaa hawezi oa Tena maana hamwamini mtu yeyote hasa hao wanawake hajasema Ila kwa experience yangu ndo hivyoHuu mradi wa Ndoa hauna faida hata Mwamposa Hana Mwanamke
Mwambie dogo aoe! Huenda baadhi ya Hizo raha anazodai anazipata hata nje ya ndoa ni dhambi. Mfano raha ya ngono. Kama anaipata nje ya ndoa, anazini. Na zinaa ni dhambi. Asije siku akikutata na Mungu wakati wa kiama akasema hatukumwambia.Kwa hiyo nisemeje
Kwan kila mtu atafanyiwa operation😂Kaka we kama umepitia hivo sawa kivyako,,me niliumwa sana lakin nilihudumiwa na washkaji zangu wa damu hakuna cha mwanamke wala ninWe jamaa yangu sikia hii kituuu.
OA AKIZINGUA ACHA (FANYA HII KITU MPAKA UTAKAPOZEEKA)
MIMI NILIONA UMUHIMU WAKATI NAFANYIWA OPERATION. AISEE MKE ALINISTIRI SANA.
UKIANZA KUUGUA UTAITAMBUA THAMANI YA NDOA
Nimemchapa kofi atoke usingizini.Huyo anaota [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji383] talks mzeeWe jamaa yangu sikia hii kituuu.
OA AKIZINGUA ACHA (FANYA HII KITU MPAKA UTAKAPOZEEKA)
MIMI NILIONA UMUHIMU WAKATI NAFANYIWA OPERATION. AISEE MKE ALINISTIRI SANA.
UKIANZA KUUGUA UTAITAMBUA THAMANI YA NDOA
Next generation huendelezwa na sex.Its sad kuona vijana wanathamini sana hela kuliko their next generation
Literally TOO SAD
Tatizo ni kuishi maisha ya kihuni kama hujaoa na yale sio maishaKijana Kuoa Ni Muhimu kuliko unavyofikiria.
Kama ww umetoka kwenye familia yenye Baba na Mama, na ukalelewa.
Kwann unataka watoto wako walelewe kiholela?..
Na Kama umetoka kwenye familia ya upande mmoja, najua umepitia changamoto nyingi. Unataka pia watoto wako wapitie Kama ww?..
Ukioa unakuwa na Maono ya kujenga na kutunza Familia.
Utaoa, utawajibika Kama baba, utapanga nyumba(utaacha kukaa gheto), utanunua kiwanja, utajenga, utaanzisha biashara nk nk.
Usipooa Sasa, maisha yako kila mwaka Inakuwa Ni kuhangaika na wanawake, Leo huyu, kesho huyu, miaka na miaka Ni kusuluhisha tu mpenzi.
Utakuwa Mwanaume hopeless kabisa.
Mimi nimeoa Nina miaka 6. Nina maendeleo ambayo naona kabisa ningekuwa mwenyewe Nisingekuwa hapa.
ExactlyNext generation huendelezwa na sex.
Na sex haina uhusiano wowote na ndoa.
#YNWA
Imagine unaolewa na Mbwa!Vijana wa hovyo kweri kwerii! Sema mnaogopa majukum mbwa nyinyi[emoji1787][emoji1787]
PoleUlitakiwa useme mwanzoni kwamba unajenga chumba, sio nyumba. Nyumba sio tako kwamba kila mtu analo.