Only in Africa
Rais ni mtu mkubwa sana kufikia na kuanza kushawishi wanachama wa vyama vingine hasa ukizingatia pale alikuwa akiongea kama mtawala na mwenye fursa zote.Siyo afrika pekee. Hata Reagan alikuwa Democrat kabla ya kuhamia Republican.
Hoja ya Rais Magufuli ni rahisi kwamba ni CCM pekee ambayo ina utaratibu wa kuachiana uongozi wa Chama kila baada ya miaka kumi. Kama kipo chama kingine kinachofanya hivyo kitajwe. Tujadili hoja bila ushabiki
Siyo afrika pekee. Hata Reagan alikuwa Democrat kabla ya kuhamia Republican.
Hoja ya Rais Magufuli ni rahisi kwamba ni CCM pekee ambayo ina utaratibu wa kuachiana uongozi wa Chama kila baada ya miaka kumi. Kama kipo chama kingine kinachofanya hivyo kitajwe. Tujadili hoja bila ushabiki
Mtoa mada umejitahidi sana kutoa mada kemkem zenye malalamiko,kama lembeli yeye mwenyewe kama hana mpango wa kurudi asingeudhuria mkutano wa raisi na asingefika uwanjani. sio njaa sio shida kuamka leo ukaamua usile samaki ukaamua kula Kuku,So mwambie mbowe afanye utaratibu wa kuanzisha viwanda,aanzishe mashamba ya uzalishaji,mifugo awaajiri vijana watampa surport kwenye shughuli zake za kisiasaKwa mara nyingine tena Taifa letu limepata fursa ya kuyafahamu mambo yanayoendelea katika siasa za Tanzania.Siasa za Tanzania zinatajwa kuwa ni siasa za kipekee kabisa duniani,siasa zilizojaa hila,unafiki,usariti na ushawishi unaotokana na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo.
Wadadisi wa mambo ya kisiasa nchini waazitataja siasa za nchi hii kama siasa uchwara zisizo na misimamo ambazo hutawaliwa zaidi na "mahitaji ya tumbo", kuliko uzalendo wa kujitoa kulitumikia Taifa.Hizi ni siasa maslahi ambazo badala ya kujikita katika itikadi na falsafa za vyama, zinaongozwa na njaa za wanasiasa uchwara waliotayari kuvisariti viapo vyao kukidhi mahitaji ya matumbo yao. Matokeo ya wanasiasa wa aina hii ni kuwakatisha tamaa wanamabadiliko wa kweli waliojitoa muhanga kulitoa Taifa letu katika utawala dharimu wa CCM.
Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza,inakuwaje mtu tuliyemuamini kuwa amejitoa kwa dhati kulipigania Taifa kupitia siasa za mageuzi,afike mahali arudi nyuma na kuyarudia matapishi yake huku akisahau majina aliyoitwa majina kama " oil chafu na mengineyo" wakati alipojiondoa CCM na kuja upinzani?
Jibu la maswali haya nimelipata jana hapa Kahama katika mkutano wa hadhara wa JPM uliofanyika katika viwanja vya milango kumi hapa Kahama maarufu kama "uwanja wa Magufuli". Katika mkutano huo nilishuhudia nguvu kubwa ya ushawishi aliyoifanya JPM akimshawishi aliyekuwa mbunge wa Kahama na mgombea ubunge kupitia CHADEMA 2015 James Lembeli alejee CCM.Umma wa wakazi wa KAHAMA ulipigwa na butwaa na kutoamini namna Rais alivyokuwa anatumia madaraka yake kumshaeishi James Lembeli arejee CCM kwa ahadi kemkem.
Msikilize Magufuli katika video hii akimshawishi Lembeli arudi CCM
Jambo la msingi tunalopaswa kujiuliza: ikiwa Rais alitumia ushawishi wa kiwango hiki hadharani mbele ya mkutano wa hadhara kumuomba Lembeli arejee CCM, ni nguvu gani ya ushawishi hufanywa sirini kuwarubuni makamanda wetu waviasi vyama vyao na kurejea CCM?Unafikiri ushawishi ule alioufanya JPM akimuomba Lembeli arejee CCM ulianzia pale mkutanoni katika viwanja vya Magufuli?Jibu ni kwamba alichokuwa anakifanya JPM pale mkutanoni ni mwendelezo wa juhudi za chini kwa chini anazozifanya na zifanywazo na wenzake kuwarubuni viongozi na wanachama wa upinzani kurudi CCM.
Ni dhahiri kuwa upinzani kunahitaji moyo,ni wachache sana wanaoweza kukataa " ushawishi wa Rais"wa kujiunga na CCM, kwa siasa zetu zinazoongozwa na tumbo, ni nadra kwa mtu mwenye njaa kuukataa wito wa rais,rais mwenye mamlaka za uteuzi na anayeweza kukuteua na kukupa uraji wa kukidhi njaa ya tumbo lako. Inahitaji ujasiri wa kikamanda na moyo wa kizalendo kuvishinda vishawishi vya rais na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo ili usirejee ccm,vinginevyo hakuna awezaye kushindana na ushawishi wa aina ile nilioushuhudia jana hapa Kahama.
Shukrani kwa Lembeli kwa "kusita" kutimiza makubaliano ambayo naamini tayari yalikuwa yameshafikiwa kabla ya ule mkutano,lakini nilichokishuhudia pale tayari "roho ya usariti" imeshauingia moyo wa Lembeli,kinachosubiriwa ni muda muafaka tu ili aandaliwe mkutano mwingine wa kumpokea akirejea tena CCM.Pale mkutanoni alisita kutimiza "usariti" wake,lakini alimuhakikishia JPM kuwa "mkia wake bado upo" na anasubiri kutekelezwa kwa mambo flaniflani ili ayarudie matapishi yake kwa kurejea tena CCM.
Njaa ni jambo la kawaida kwa viumbe hai,lakini njaa hugeuka kuwa mbaya pale inapohama toka tumboni na kuingia kichwani. Lembeli huyu huyu aliyeuaminisha Umma wa wanakahama kuwa alishauriwa na mama yake (Mwana Maria) na mizimu ya kwao ilimpa baraka atoke CCM na kujiunga UKAWA, leo anaisariti hadi mizimu yake anayoiamini? Njaa mbaya jamani!!!
Wapenda mabadiliko tusikatishwe tamaa na makamanda waasi wanaoikimbia kambi kwa ushawishi upitao akili zao,ila jambo lililodhahiri ni kwamba,wote wanaorejea CCM hufanya hivyo baada ya vikao vya muda mrefu vya ushawishi vifanywavyo na ccm na serikali yake,wanachokifanya jukwaani mbele za watu ni hatua ya mwisho tu ya kukamirisha usariti wao baada ya mhusika kutimiziwa daadhi ya ahadi alizoahidiwa.
Mtoa mada umejitahidi sana kutoa mada kemkem zenye malalamiko,kama lembeli yeye mwenyewe kama hana mpango wa kurudi asingeudhuria mkutano wa raisi na asingefika uwanjani. sio njaa sio shida kuamka leo ukaamua usile samaki ukaamua kula Kuku,So mwambie mbowe afanye utaratibu wa kuanzisha viwanda,aanzishe mashamba ya uzalishaji,mifugo awaajiri vijana watampa surport kwenye shughuli zake za kisiasa
Akasisitiza tuwe na akiba ya maneno. Zitto ni mwanasiasa makini na pengo lake pale CDM halijazibika hadi leo"Usimuamini Mwanasiasa" ___Zitto Kabwe
Viongozi wengi wa Upinzani ni zao la CCM .... sasa sijui unataka kutuambia nini hapa!!??Hehehe nivizuri kuona hilo
Unamkuta mtu naye anajiita mwanasiasa kweli anaongea kauli kali
"Anae muunga mkono lowassa akapimwe akili" kweli!!!
Kesho unakuwa wakwanza kumuunga mkono huyohuyo bila kueleza sababu ya kueleweka.
Mtailaumu Ccm lakini ukweli unafahamika
Tanzania tuna vyama vya upinzani vinavyo ongozwa na viongozi Uchwara .
Ukianza kuwapima siasa zao kwamwenye kutumia akili hawa watu hawakustahili hata kuwa viongozi wa vitongoji.
Siasa sa kufuata mkumbo
Eti lema ana hit kwenye gazeti kisa kupigana na police
Naye anaiga hivyo hivyo.
Ccm itatawala zaidi na hii nikutokana na mpinzani wake kuwa Jiwe lisilo kwenda na wakati.
WATANZANIA WANAHITAJI MAENDELEO SIO "UKUTA"
HAWAPAKANI NA SOMALIA
Wewe ni mmoja wa watanzania wanaopotoshs vijana wa kitanzania.Naamini wewe ndio moja wale wanao waandamanisha vijana nna kuwapotezea mda kwa ubinafsi ulionao.Unasema Chama cha siasa hakitoi ajira angalia akina mbowe na wenzake hao makampuni yao kila siku yanaingiza mamilion ya faida hata wakati mwingine kwa kukwepa kodi.Wewe unang'ang'ana na kupotosha kila kukicha.Mwisho wa siku wanabaki kuws maskini ..ogopa kutumia watanzania wenzako kujinufaisha.wafundishe watu kuvua samaki wale sio kuwapa watu samaki wale siku ukiwa haupo wanalala njaa.Acheni kuabudiwa nyie ...Yawezekana upo hapa jukwaani kwa bahati mbaya,kuanzisha viwanda na mashamba ili kutoa ajira kwa vijana si jukumu la chama cha siasa.Hata hiyo ccm unayoishabikia haijawahi kufanya lolote kuwawezesha vijana wa Taifa hili kujiajiri,hivyo unapojenga hoja jaribu kujenga hoja yenye mantiki itakayoakisi ukomavu wa akili yako badala ya kutuletea "vihoja" hapa jukwaani.
Unapoliona jibabaa la miraba saba linalilia kuramba matapishi yake alioyacheuka , ujue si bure kuna jambo-iko namnaKwa mara nyingine tena Taifa letu limepata fursa ya kuyafahamu mambo yanayoendelea katika siasa za Tanzania.Siasa za Tanzania zinatajwa kuwa ni siasa za kipekee kabisa duniani,siasa zilizojaa hila,unafiki,usariti na ushawishi unaotokana na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo.
Wadadisi wa mambo ya kisiasa nchini waazitataja siasa za nchi hii kama siasa uchwara zisizo na misimamo ambazo hutawaliwa zaidi na "mahitaji ya tumbo", kuliko uzalendo wa kujitoa kulitumikia Taifa.Hizi ni siasa maslahi ambazo badala ya kujikita katika itikadi na falsafa za vyama, zinaongozwa na njaa za wanasiasa uchwara waliotayari kuvisariti viapo vyao kukidhi mahitaji ya matumbo yao. Matokeo ya wanasiasa wa aina hii ni kuwakatisha tamaa wanamabadiliko wa kweli waliojitoa muhanga kulitoa Taifa letu katika utawala dharimu wa CCM.
Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza,inakuwaje mtu tuliyemuamini kuwa amejitoa kwa dhati kulipigania Taifa kupitia siasa za mageuzi,afike mahali arudi nyuma na kuyarudia matapishi yake huku akisahau majina aliyoitwa majina kama " oil chafu na mengineyo" wakati alipojiondoa CCM na kuja upinzani?
Jibu la maswali haya nimelipata jana hapa Kahama katika mkutano wa hadhara wa JPM uliofanyika katika viwanja vya milango kumi hapa Kahama maarufu kama "uwanja wa Magufuli". Katika mkutano huo nilishuhudia nguvu kubwa ya ushawishi aliyoifanya JPM akimshawishi aliyekuwa mbunge wa Kahama na mgombea ubunge kupitia CHADEMA 2015 James Lembeli alejee CCM.Umma wa wakazi wa KAHAMA ulipigwa na butwaa na kutoamini namna Rais alivyokuwa anatumia madaraka yake kumshaeishi James Lembeli arejee CCM kwa ahadi kemkem.
Msikilize Magufuli katika video hii akimshawishi Lembeli arudi CCM
Jambo la msingi tunalopaswa kujiuliza: ikiwa Rais alitumia ushawishi wa kiwango hiki hadharani mbele ya mkutano wa hadhara kumuomba Lembeli arejee CCM, ni nguvu gani ya ushawishi hufanywa sirini kuwarubuni makamanda wetu waviasi vyama vyao na kurejea CCM?Unafikiri ushawishi ule alioufanya JPM akimuomba Lembeli arejee CCM ulianzia pale mkutanoni katika viwanja vya Magufuli?Jibu ni kwamba alichokuwa anakifanya JPM pale mkutanoni ni mwendelezo wa juhudi za chini kwa chini anazozifanya na zifanywazo na wenzake kuwarubuni viongozi na wanachama wa upinzani kurudi CCM.
Ni dhahiri kuwa upinzani kunahitaji moyo,ni wachache sana wanaoweza kukataa " ushawishi wa Rais"wa kujiunga na CCM, kwa siasa zetu zinazoongozwa na tumbo, ni nadra kwa mtu mwenye njaa kuukataa wito wa rais,rais mwenye mamlaka za uteuzi na anayeweza kukuteua na kukupa uraji wa kukidhi njaa ya tumbo lako. Inahitaji ujasiri wa kikamanda na moyo wa kizalendo kuvishinda vishawishi vya rais na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo ili usirejee ccm,vinginevyo hakuna awezaye kushindana na ushawishi wa aina ile nilioushuhudia jana hapa Kahama.
Shukrani kwa Lembeli kwa "kusita" kutimiza makubaliano ambayo naamini tayari yalikuwa yameshafikiwa kabla ya ule mkutano,lakini nilichokishuhudia pale tayari "roho ya usariti" imeshauingia moyo wa Lembeli,kinachosubiriwa ni muda muafaka tu ili aandaliwe mkutano mwingine wa kumpokea akirejea tena CCM.Pale mkutanoni alisita kutimiza "usariti" wake,lakini alimuhakikishia JPM kuwa "mkia wake bado upo" na anasubiri kutekelezwa kwa mambo flaniflani ili ayarudie matapishi yake kwa kurejea tena CCM.
Njaa ni jambo la kawaida kwa viumbe hai,lakini njaa hugeuka kuwa mbaya pale inapohama toka tumboni na kuingia kichwani. Lembeli huyu huyu aliyeuaminisha Umma wa wanakahama kuwa alishauriwa na mama yake (Mwana Maria) na mizimu ya kwao ilimpa baraka atoke CCM na kujiunga UKAWA, leo anaisariti hadi mizimu yake anayoiamini? Njaa mbaya jamani!!!
Wapenda mabadiliko tusikatishwe tamaa na makamanda waasi wanaoikimbia kambi kwa ushawishi upitao akili zao,ila jambo lililodhahiri ni kwamba,wote wanaorejea CCM hufanya hivyo baada ya vikao vya muda mrefu vya ushawishi vifanywavyo na ccm na serikali yake,wanachokifanya jukwaani mbele za watu ni hatua ya mwisho tu ya kukamirisha usariti wao baada ya mhusika kutimiziwa daadhi ya ahadi alizoahidiwa.
Wewe ni mmoja wa watanzania wanaopotoshs vijana wa kitanzania.Naamini wewe ndio moja wale wanao waandamanisha vijana nna kuwapotezea mda kwa ubinafsi ulionao.Unasema Chama cha siasa hakitoi ajira angalia akina mbowe na wenzake hao makampuni yao kila siku yanaingiza mamilion ya faida hata wakati mwingine kwa kukwepa kodi.Wewe unang'ang'ana na kupotosha kila kukicha.Mwisho wa siku wanabaki kuws maskini ..ogopa kutumia watanzania wenzako kujinufaisha.wafundishe watu kuvua samaki wale sio kuwapa watu samaki wale siku ukiwa haupo wanalala njaa.Acheni kuabudiwa nyie ...
DUH! MUVI NDO LINAISHIAISHIA HIVYO!Kwa mara nyingine tena Taifa letu limepata fursa ya kuyafahamu mambo yanayoendelea katika siasa za Tanzania.Siasa za Tanzania zinatajwa kuwa ni siasa za kipekee kabisa duniani,siasa zilizojaa hila,unafiki,usariti na ushawishi unaotokana na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo.
Wadadisi wa mambo ya kisiasa nchini waazitataja siasa za nchi hii kama siasa uchwara zisizo na misimamo ambazo hutawaliwa zaidi na "mahitaji ya tumbo", kuliko uzalendo wa kujitoa kulitumikia Taifa.Hizi ni siasa maslahi ambazo badala ya kujikita katika itikadi na falsafa za vyama, zinaongozwa na njaa za wanasiasa uchwara waliotayari kuvisariti viapo vyao kukidhi mahitaji ya matumbo yao. Matokeo ya wanasiasa wa aina hii ni kuwakatisha tamaa wanamabadiliko wa kweli waliojitoa muhanga kulitoa Taifa letu katika utawala dharimu wa CCM.
Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza,inakuwaje mtu tuliyemuamini kuwa amejitoa kwa dhati kulipigania Taifa kupitia siasa za mageuzi,afike mahali arudi nyuma na kuyarudia matapishi yake huku akisahau majina aliyoitwa majina kama " oil chafu na mengineyo" wakati alipojiondoa CCM na kuja upinzani?
Jibu la maswali haya nimelipata jana hapa Kahama katika mkutano wa hadhara wa JPM uliofanyika katika viwanja vya milango kumi hapa Kahama maarufu kama "uwanja wa Magufuli". Katika mkutano huo nilishuhudia nguvu kubwa ya ushawishi aliyoifanya JPM akimshawishi aliyekuwa mbunge wa Kahama na mgombea ubunge kupitia CHADEMA 2015 James Lembeli alejee CCM.Umma wa wakazi wa KAHAMA ulipigwa na butwaa na kutoamini namna Rais alivyokuwa anatumia madaraka yake kumshaeishi James Lembeli arejee CCM kwa ahadi kemkem.
Msikilize Magufuli katika video hii akimshawishi Lembeli arudi CCM
Jambo la msingi tunalopaswa kujiuliza: ikiwa Rais alitumia ushawishi wa kiwango hiki hadharani mbele ya mkutano wa hadhara kumuomba Lembeli arejee CCM, ni nguvu gani ya ushawishi hufanywa sirini kuwarubuni makamanda wetu waviasi vyama vyao na kurejea CCM?Unafikiri ushawishi ule alioufanya JPM akimuomba Lembeli arejee CCM ulianzia pale mkutanoni katika viwanja vya Magufuli?Jibu ni kwamba alichokuwa anakifanya JPM pale mkutanoni ni mwendelezo wa juhudi za chini kwa chini anazozifanya na zifanywazo na wenzake kuwarubuni viongozi na wanachama wa upinzani kurudi CCM.
Ni dhahiri kuwa upinzani kunahitaji moyo,ni wachache sana wanaoweza kukataa " ushawishi wa Rais"wa kujiunga na CCM, kwa siasa zetu zinazoongozwa na tumbo, ni nadra kwa mtu mwenye njaa kuukataa wito wa rais,rais mwenye mamlaka za uteuzi na anayeweza kukuteua na kukupa uraji wa kukidhi njaa ya tumbo lako. Inahitaji ujasiri wa kikamanda na moyo wa kizalendo kuvishinda vishawishi vya rais na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo ili usirejee ccm,vinginevyo hakuna awezaye kushindana na ushawishi wa aina ile nilioushuhudia jana hapa Kahama.
Shukrani kwa Lembeli kwa "kusita" kutimiza makubaliano ambayo naamini tayari yalikuwa yameshafikiwa kabla ya ule mkutano,lakini nilichokishuhudia pale tayari "roho ya usariti" imeshauingia moyo wa Lembeli,kinachosubiriwa ni muda muafaka tu ili aandaliwe mkutano mwingine wa kumpokea akirejea tena CCM.Pale mkutanoni alisita kutimiza "usariti" wake,lakini alimuhakikishia JPM kuwa "mkia wake bado upo" na anasubiri kutekelezwa kwa mambo flaniflani ili ayarudie matapishi yake kwa kurejea tena CCM.
Njaa ni jambo la kawaida kwa viumbe hai,lakini njaa hugeuka kuwa mbaya pale inapohama toka tumboni na kuingia kichwani. Lembeli huyu huyu aliyeuaminisha Umma wa wanakahama kuwa alishauriwa na mama yake (Mwana Maria) na mizimu ya kwao ilimpa baraka atoke CCM na kujiunga UKAWA, leo anaisariti hadi mizimu yake anayoiamini? Njaa mbaya jamani!!!
Wapenda mabadiliko tusikatishwe tamaa na makamanda waasi wanaoikimbia kambi kwa ushawishi upitao akili zao,ila jambo lililodhahiri ni kwamba,wote wanaorejea CCM hufanya hivyo baada ya vikao vya muda mrefu vya ushawishi vifanywavyo na ccm na serikali yake,wanachokifanya jukwaani mbele za watu ni hatua ya mwisho tu ya kukamirisha usariti wao baada ya mhusika kutimiziwa daadhi ya ahadi alizoahidiwa.
USALITI ULIOVUNJA REKODI NI ULE WA KIBADILI GIA ANGANI, ANAYEBISHA NA ABISHE!Kwa mara nyingine tena Taifa letu limepata fursa ya kuyafahamu mambo yanayoendelea katika siasa za Tanzania.Siasa za Tanzania zinatajwa kuwa ni siasa za kipekee kabisa duniani,siasa zilizojaa hila,unafiki,usariti na ushawishi unaotokana na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo.
Wadadisi wa mambo ya kisiasa nchini waazitataja siasa za nchi hii kama siasa uchwara zisizo na misimamo ambazo hutawaliwa zaidi na "mahitaji ya tumbo", kuliko uzalendo wa kujitoa kulitumikia Taifa.Hizi ni siasa maslahi ambazo badala ya kujikita katika itikadi na falsafa za vyama, zinaongozwa na njaa za wanasiasa uchwara waliotayari kuvisariti viapo vyao kukidhi mahitaji ya matumbo yao. Matokeo ya wanasiasa wa aina hii ni kuwakatisha tamaa wanamabadiliko wa kweli waliojitoa muhanga kulitoa Taifa letu katika utawala dharimu wa CCM.
Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza,inakuwaje mtu tuliyemuamini kuwa amejitoa kwa dhati kulipigania Taifa kupitia siasa za mageuzi,afike mahali arudi nyuma na kuyarudia matapishi yake huku akisahau majina aliyoitwa majina kama " oil chafu na mengineyo" wakati alipojiondoa CCM na kuja upinzani?
Jibu la maswali haya nimelipata jana hapa Kahama katika mkutano wa hadhara wa JPM uliofanyika katika viwanja vya milango kumi hapa Kahama maarufu kama "uwanja wa Magufuli". Katika mkutano huo nilishuhudia nguvu kubwa ya ushawishi aliyoifanya JPM akimshawishi aliyekuwa mbunge wa Kahama na mgombea ubunge kupitia CHADEMA 2015 James Lembeli alejee CCM.Umma wa wakazi wa KAHAMA ulipigwa na butwaa na kutoamini namna Rais alivyokuwa anatumia madaraka yake kumshaeishi James Lembeli arejee CCM kwa ahadi kemkem.
Msikilize Magufuli katika video hii akimshawishi Lembeli arudi CCM
Jambo la msingi tunalopaswa kujiuliza: ikiwa Rais alitumia ushawishi wa kiwango hiki hadharani mbele ya mkutano wa hadhara kumuomba Lembeli arejee CCM, ni nguvu gani ya ushawishi hufanywa sirini kuwarubuni makamanda wetu waviasi vyama vyao na kurejea CCM?Unafikiri ushawishi ule alioufanya JPM akimuomba Lembeli arejee CCM ulianzia pale mkutanoni katika viwanja vya Magufuli?Jibu ni kwamba alichokuwa anakifanya JPM pale mkutanoni ni mwendelezo wa juhudi za chini kwa chini anazozifanya na zifanywazo na wenzake kuwarubuni viongozi na wanachama wa upinzani kurudi CCM.
Ni dhahiri kuwa upinzani kunahitaji moyo,ni wachache sana wanaoweza kukataa " ushawishi wa Rais"wa kujiunga na CCM, kwa siasa zetu zinazoongozwa na tumbo, ni nadra kwa mtu mwenye njaa kuukataa wito wa rais,rais mwenye mamlaka za uteuzi na anayeweza kukuteua na kukupa uraji wa kukidhi njaa ya tumbo lako. Inahitaji ujasiri wa kikamanda na moyo wa kizalendo kuvishinda vishawishi vya rais na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo ili usirejee ccm,vinginevyo hakuna awezaye kushindana na ushawishi wa aina ile nilioushuhudia jana hapa Kahama.
Shukrani kwa Lembeli kwa "kusita" kutimiza makubaliano ambayo naamini tayari yalikuwa yameshafikiwa kabla ya ule mkutano,lakini nilichokishuhudia pale tayari "roho ya usariti" imeshauingia moyo wa Lembeli,kinachosubiriwa ni muda muafaka tu ili aandaliwe mkutano mwingine wa kumpokea akirejea tena CCM.Pale mkutanoni alisita kutimiza "usariti" wake,lakini alimuhakikishia JPM kuwa "mkia wake bado upo" na anasubiri kutekelezwa kwa mambo flaniflani ili ayarudie matapishi yake kwa kurejea tena CCM.
Njaa ni jambo la kawaida kwa viumbe hai,lakini njaa hugeuka kuwa mbaya pale inapohama toka tumboni na kuingia kichwani. Lembeli huyu huyu aliyeuaminisha Umma wa wanakahama kuwa alishauriwa na mama yake (Mwana Maria) na mizimu ya kwao ilimpa baraka atoke CCM na kujiunga UKAWA, leo anaisariti hadi mizimu yake anayoiamini? Njaa mbaya jamani!!!
Wapenda mabadiliko tusikatishwe tamaa na makamanda waasi wanaoikimbia kambi kwa ushawishi upitao akili zao,ila jambo lililodhahiri ni kwamba,wote wanaorejea CCM hufanya hivyo baada ya vikao vya muda mrefu vya ushawishi vifanywavyo na ccm na serikali yake,wanachokifanya jukwaani mbele za watu ni hatua ya mwisho tu ya kukamirisha usariti wao baada ya mhusika kutimiziwa daadhi ya ahadi alizoahidiwa.
Ukiwa na kamanda msaliti kama wewe ulivyosema basi hakufai. Ila MI naona lembeli hajakosa hapo maana yeye anahaki ya kwenda apapendapo mi Kwa mtazamo wangu CDM ndo wafikiKwa mara nyingine tena Taifa letu limepata fursa ya kuyafahamu mambo yanayoendelea katika siasa za Tanzania.Siasa za Tanzania zinatajwa kuwa ni siasa za kipekee kabisa duniani,siasa zilizojaa hila,unafiki,usariti na ushawishi unaotokana na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo.
Wadadisi wa mambo ya kisiasa nchini waazitataja siasa za nchi hii kama siasa uchwara zisizo na misimamo ambazo hutawaliwa zaidi na "mahitaji ya tumbo", kuliko uzalendo wa kujitoa kulitumikia Taifa.Hizi ni siasa maslahi ambazo badala ya kujikita katika itikadi na falsafa za vyama, zinaongozwa na njaa za wanasiasa uchwara waliotayari kuvisariti viapo vyao kukidhi mahitaji ya matumbo yao. Matokeo ya wanasiasa wa aina hii ni kuwakatisha tamaa wanamabadiliko wa kweli waliojitoa muhanga kulitoa Taifa letu katika utawala dharimu wa CCM.
Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza,inakuwaje mtu tuliyemuamini kuwa amejitoa kwa dhati kulipigania Taifa kupitia siasa za mageuzi,afike mahali arudi nyuma na kuyarudia matapishi yake huku akisahau majina aliyoitwa majina kama " oil chafu na mengineyo" wakati alipojiondoa CCM na kuja upinzani?
Jibu la maswali haya nimelipata jana hapa Kahama katika mkutano wa hadhara wa JPM uliofanyika katika viwanja vya milango kumi hapa Kahama maarufu kama "uwanja wa Magufuli". Katika mkutano huo nilishuhudia nguvu kubwa ya ushawishi aliyoifanya JPM akimshawishi aliyekuwa mbunge wa Kahama na mgombea ubunge kupitia CHADEMA 2015 James Lembeli alejee CCM.Umma wa wakazi wa KAHAMA ulipigwa na butwaa na kutoamini namna Rais alivyokuwa anatumia madaraka yake kumshaeishi James Lembeli arejee CCM kwa ahadi kemkem.
Msikilize Magufuli katika video hii akimshawishi Lembeli arudi CCM
Jambo la msingi tunalopaswa kujiuliza: ikiwa Rais alitumia ushawishi wa kiwango hiki hadharani mbele ya mkutano wa hadhara kumuomba Lembeli arejee CCM, ni nguvu gani ya ushawishi hufanywa sirini kuwarubuni makamanda wetu waviasi vyama vyao na kurejea CCM?Unafikiri ushawishi ule alioufanya JPM akimuomba Lembeli arejee CCM ulianzia pale mkutanoni katika viwanja vya Magufuli?Jibu ni kwamba alichokuwa anakifanya JPM pale mkutanoni ni mwendelezo wa juhudi za chini kwa chini anazozifanya na zifanywazo na wenzake kuwarubuni viongozi na wanachama wa upinzani kurudi CCM.
Ni dhahiri kuwa upinzani kunahitaji moyo,ni wachache sana wanaoweza kukataa " ushawishi wa Rais"wa kujiunga na CCM, kwa siasa zetu zinazoongozwa na tumbo, ni nadra kwa mtu mwenye njaa kuukataa wito wa rais,rais mwenye mamlaka za uteuzi na anayeweza kukuteua na kukupa uraji wa kukidhi njaa ya tumbo lako. Inahitaji ujasiri wa kikamanda na moyo wa kizalendo kuvishinda vishawishi vya rais na nguvu ya fedha na ahadi za vyeo ili usirejee ccm,vinginevyo hakuna awezaye kushindana na ushawishi wa aina ile nilioushuhudia jana hapa Kahama.
Shukrani kwa Lembeli kwa "kusita" kutimiza makubaliano ambayo naamini tayari yalikuwa yameshafikiwa kabla ya ule mkutano,lakini nilichokishuhudia pale tayari "roho ya usariti" imeshauingia moyo wa Lembeli,kinachosubiriwa ni muda muafaka tu ili aandaliwe mkutano mwingine wa kumpokea akirejea tena CCM.Pale mkutanoni alisita kutimiza "usariti" wake,lakini alimuhakikishia JPM kuwa "mkia wake bado upo" na anasubiri kutekelezwa kwa mambo flaniflani ili ayarudie matapishi yake kwa kurejea tena CCM.
Njaa ni jambo la kawaida kwa viumbe hai,lakini njaa hugeuka kuwa mbaya pale inapohama toka tumboni na kuingia kichwani. Lembeli huyu huyu aliyeuaminisha Umma wa wanakahama kuwa alishauriwa na mama yake (Mwana Maria) na mizimu ya kwao ilimpa baraka atoke CCM na kujiunga UKAWA, leo anaisariti hadi mizimu yake anayoiamini? Njaa mbaya jamani!!!
Wapenda mabadiliko tusikatishwe tamaa na makamanda waasi wanaoikimbia kambi kwa ushawishi upitao akili zao,ila jambo lililodhahiri ni kwamba,wote wanaorejea CCM hufanya hivyo baada ya vikao vya muda mrefu vya ushawishi vifanywavyo na ccm na serikali yake,wanachokifanya jukwaani mbele za watu ni hatua ya mwisho tu ya kukamirisha usariti wao baada ya mhusika kutimiziwa daadhi ya ahadi alizoahidiwa.