Sina furaha, ninatamani kurudi kwa wazazi wangu

HEBU DEAL NA HAYO ULIYOORODHESAH HAPA!
NDYIO YANAYOKUUMIZA!
 
kweli mwanafunzi angu!
SHIDA IKO HAPA KWENYE HIYO POST ULIYOMQUOTE
 
Nafsi ambayo haina raha utaijua tuu, mi siamini kama wifi yako hapendi uwe hapo ila ww tuu nadhani utakuwa muda mwingi ni mpweke ukiwa hapo home kwa bro wako.
Hebu jichanganye, enjoy life there na mfanye rafiki huyo wifi yako na muda utafika na ww utakuwa na kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…