I guees mke wa bro havutiwi kuishi kwake, yani kila unachofanya it's like anachunguza, and nahic anafurahi nicpofanikiwa kwa chochote, and anatuona tunashida sana my be tunamtegemea mume wake, and huwa wana ni discuss akiwa na ndugu zake especially Dada na wadogo zake wa kike na mamake, coz wao wote wamefanikiwa na wanakaz bt kwetu only ma bro ndo amefanikiwa ndugu zangu wa2 wamemaliza degree wapo home to jobless, mm majanga siwez kuendelea na chuo cz vigezo walivyoweka vya GPA ya 3.5 mm sina, yani naona maisha magumuuu