luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,361
- 6,966
Sasa mtu asiupe moyo mazoezi jamaniAchana na mpenzi wa watu jombaa....
Kwamba hujastuka ni demu wa mtu vipi mzee we zezeta niniSijawasiliana nae kwa njia direct call siku ya 3 sasa nikimpigia simu yake haipokelewi, ukituma text Whatsapp mpaka ijibiwe inachukia hata siku nzima.
Nikaamua kula buyu niendelee na ratiba zang, ghafla akanitafuta akaniambia sorry nilikuwa busy sanaa na issue za ukaguzi, kweli akabadilika akawa anani cheki hewani na kunitext for some days often gaflaaa kabadilika tena karudi kule kule katika ubusy wake.
Walaai laadhim simuelewi huyu mtoto ana rukaruka kama maharage motoni.
Kitumbua chake kipo kinakaguliwa na mkaguzi mkuu .Sijawasiliana nae kwa njia direct call siku ya 3 sasa nikimpigia simu yake haipokelewi, ukituma text Whatsapp mpaka ijibiwe inachukia hata siku nzima.
Nikaamua kula buyu niendelee na ratiba zang, ghafla akanitafuta akaniambia sorry nilikuwa busy sanaa na issue za ukaguzi, kweli akabadilika akawa anani cheki hewani na kunitext for some days often gaflaaa kabadilika tena karudi kule kule katika ubusy wake.
Walaai laadhim simuelewi huyu mtoto ana rukaruka kama maharage motoni.
Tambua thamani yako yakuwa wew n mtu muhimu sana, kuwa naye n kuendlea kupoteza thamani yako. Mwanamke akupendaye kwa dhati #Hawezi kuwa busY, trust me. Kuachana nae n kujiheshimu na kutambua thamani yako.Sijawasiliana nae kwa njia direct call siku ya 3 sasa nikimpigia simu yake haipokelewi, ukituma text Whatsapp mpaka ijibiwe inachukia hata siku nzima.
Nikaamua kula buyu niendelee na ratiba zang, ghafla akanitafuta akaniambia sorry nilikuwa busy sanaa na issue za ukaguzi, kweli akabadilika akawa anani cheki hewani na kunitext for some days often gaflaaa kabadilika tena karudi kule kule katika ubusy wake.
Walaai laadhim simuelewi huyu mtoto ana rukaruka kama maharage motoni.