Simu Tecno L9+ batan zake zimestak.

mwanya2

Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
94
Reaction score
49
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie , simu ilikuwa nzima ilizima charge baada ya kuicharge ilipowashwa batani zake zote 3 za chini hazifanyi kazi, lakini tarch yake inafanya kazi bila shida. Mwenye kujua nn tatizo anisaidie.
 
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie , simu ilikuwa nzima ilizima charge baada ya kuicharge ilipowashwa batani zake zote 3 za chini hazifanyi kazi, lakini tarch yake inafanya kazi bila shida. Mwenye kujua nn tatizo anisaidie.
Tecno tena
 
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie , simu ilikuwa nzima ilizima charge baada ya kuicharge ilipowashwa batani zake zote 3 za chini hazifanyi kazi, lakini tarch yake inafanya kazi bila shida. Mwenye kujua nn tatizo anisaidie.

Tumia Soft Keys- Home Back Button App. Ingia Play Store zipo nyingi tu mkuu.
 
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie , simu ilikuwa nzima ilizima charge baada ya kuicharge ilipowashwa batani zake zote 3 za chini hazifanyi kazi, lakini tarch yake inafanya kazi bila shida. Mwenye kujua nn tatizo anisaidie.
nicheki 0754604567
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…