Simu ndogo kuliko zote dunia

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,367
usishangae kuona teknolojia ina kufikia kwa njia yoyote,kwa kuwa itataka kushindana na ubora hata kisoko kuvutia wateja.
kampuni Zanco imetengeneza simu aina Tiny t1 ambayo uzito wake sawa na 150 grams.
 
Haturudi tena nyuma... Zamani ndio ingekuwa fashion, saivi mtu anaongea kwa kutumia tablet ya 10 inch anaweka masikioni unataka kumpa icho kidonge cha panadol? wakae nayo wenyewe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…