SIMU NAUZA WADAU

SIMU NAUZA WADAU

Pranzou jr

Member
Joined
May 28, 2019
Posts
51
Reaction score
54
Simu hii SAMSUNG GALAXY A10
Iko sokoni ina siku 4 tangu niinunue wadau, nimepatwa na tatizo ghafla mkoani.
Bei 280k
Iko dar

Simu 0755102030
IMG_1861.JPG
IMG_1862.JPG
IMG_1865.JPG
IMG_1867.JPG
IMG_1865.JPG
 
Mkuu hii simu yako inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro na sio A10 plain kwa hiyo badili hapo unawachanganganya

Kitu cha pili tusaidie simu yako wewe ulinunua wapi na kwa bei gani?Ukiangalia specs za hiyo simu na bei yako naona unauza kwa bei ndogo sana je umenunua bei gani na wapi?

Hisia zangu zinanituma hiyo ngoma ni clone kwa hiyo mnunuaji uwe makini kuicheck

Lengo si kukuharibia biashara ila ni kukumbushana ili tusjeumizana wanaJF
Simu hii SAMSUNG GALAXY A10
Iko sokoni ina siku 4 tangu niinunue wadau, nimepatwa na tatizo ghafla mkoani.
Bei 280k
Iko dar

Simu 0755102030View attachment 1118498 View attachment 1118500View attachment 1118501View attachment 1118502View attachment 1118503
simubombatz-20190606-0001.jpeg
 
Mkuu hii simu yako inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro na sio A10 plain kwa hiyo badili hapo unawachanganganya

Kitu cha pili tusaidie simu yako wewe ulinunua wapi na kwa bei gani?Ukiangalia specs za hiyo simu na bei yako naona unauza kwa bei ndogo sana je umenunua bei gani na wapi?

Hisia zangu zinanituma hiyo ngoma ni clone kwa hiyo mnunuaji uwe makini kuicheck

Lengo si kukuharibia biashara ila ni kukumbushana ili tusjeumizana wanaJF
View attachment 1119428

Mkuu hebu naomba tofauti ya clone na OG kwa Galaxy A30 nilienda Kariakoo juzi nikashindwa kuelewa nikaacha kununua.
 
Mkuu hii simu yako inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro na sio A10 plain kwa hiyo badili hapo unawachanganganya

Kitu cha pili tusaidie simu yako wewe ulinunua wapi na kwa bei gani?Ukiangalia specs za hiyo simu na bei yako naona unauza kwa bei ndogo sana je umenunua bei gani na wapi?

Hisia zangu zinanituma hiyo ngoma ni clone kwa hiyo mnunuaji uwe makini kuicheck

Lengo si kukuharibia biashara ila ni kukumbushana ili tusjeumizana wanaJF
View attachment 1119428
Sidhani kama kuna simu inaitwa Samsung Galaxy A10 Pro.

Pili Samsung Galaxy A10 bei yake ni 250,000 hadi 300,000. Ukiuziwa zaidi ya hapo umeibiwa.
 
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
 
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
Halafu bado kuna mtu atanunua tecno.
 
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.

Mkuu nawezaje kujua tofauti kati ya clone na OG kwa huu mzigo mpya wa A-series 10,20,30...

Thanks In Advance.
 
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.

IMG_1897.JPG
IMG_1901.JPG



Sio lazma ila hio hapo Tanzania huipati

Bado mpya
Bei imepanda
480k
Ukitaka njoo na pesa yako
 
Mwenye mali katulia na mali yake

Ww leta pesa chukua mzigo
480k
 
Ipo. Hiyo ni A 10 pro.
Kioo chake sio infinity.
hebu google utaona imetoka 2018 sijui ilikwama wapi kufika bongo.
Ila A10 plain(infinity display)
ni simu ya bei nafuu na ni tamu balaaaaa.
Hakuna simu inayoitwa Galaxy A10 pro, na hizo simu za Galaxy A series mpya (A10, A20,A30 n.k) zmetoka juzi tu kuanzia february hadi june. ( sidhan km kopi zipo tayari) . Hiyo A10 kuuzwa 280 ni sahihi kabisa, kuna rafiki angu kanunua dukani 320, inauzwa bei ndogo sabab ya kioo chake siyo Super Amoled km kawaida ya Samsung, sijamtetea muuzaji ila nmeeleza nnachokifaham maana me ni mfuasi wa Samsung so ukipigwa me simo.
 
Wenye tecno nunueni samsung,
Nani ajuaye kesho? huenda rambo zikiisha itakuja kampeni ya kuteketeza tecno zote.
tapatalk_1559585293630.jpeg
tapatalk_1559750314259.jpeg
 
vivo x21
display 6.3*gollila 3
ram 6gb
rom 128gb
fingerprint
face unlocker
dual camera 12mp/5mp
selfie 12mp
android 9
bei 400k

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20191226_154855.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom