Simu inauzwa

Jamaa mi hata nashindwa kukuelewa. Hv haohao unaowatukana ndio unategemea wanunue huo mzigo wako au. Unapewa ushauri unajifanya mjuaji. Kumamae kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake
Huyu mleta tangazo ameshindwa kuelewa ni kwa nini watu Wanamwambia mara simu kioo kina ufa, mara simu imechakaa anakurukupuka na kutukana
Hao wanamaanisha Tangazo lako halina picha ya hiyo simu unayouza
Dah kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…