mdachi mdachi
Senior Member
- Mar 9, 2017
- 118
- 138
nnamatatzo ndio maana naiuza kama waihitaji nisaidieDo Itel phone ina MB 16, hiyo bando au RAM. Mi naona utulie nayo tu hujamaliza week unaiza vp, Garasha nini
MB 16
vp mkuu tuwasiliane nikupatieNimeikuta mahali flani ni simu mzuri sana aisee,nawapongeza Itel kwa toleo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
nmekosea kuandika kumbe ni GBMb16 rudia vizuri kusoma specifications za cm yako
GB na sio mbHawa itel wapuuzi sana/wanazarau sana simu kubwa hivyo ina Mb 16, kaka ulipewa zawadi au ulinunua mwenyewe
Fanya marekebisho kwenye thread yako hapo Juu mkuu
ameshasema mb 16! wewe unataka sasa atudanganye ni gb 16! bora kasema ukweli huyo! inamaana hiyo cmu ni kwa kupiga na kupigiwa hakuna haja ya ma whatsap na mengineyoMb16 rudia vizuri kusoma specifications za cm yako
wew uko perfect 100% eeeh????ameshasema mb 16! wewe unataka sasa atudanganye ni gb 16! bora kasema ukweli huyo! inamaana hiyo cmu ni kwa kupiga na kupigiwa hakuna haja ya ma whatsap na mengineyo