Simu inaishia kwenye WI-FI

PRINCEd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
862
Reaction score
625
Msaada namna ya kutoa simu inayoishia kwenye WI-Fi settings.....
Baada ya simu yangu kuwa slow nkaamua niifanyie hard reset. Sasa kila kinjaribu kuanza upya inaishia kwenye Wi-fi setting aiendlei nifanyeje wdau
 
Msaada namna ya kutoa simu inayoishia kwenye WI-Fi settings.....
Baada ya simu yangu kuwa slow nkaamua niifanyie hard reset. Sasa kila kinjaribu kuanza upya inaishia kwenye Wi-fi setting aiendlei nifanyeje wdau
connect wi-fi next kuna semu add account yako ya gmail na password.ikishindikana tafuta mataalamu alie karibu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…