Weka laini afu nenda kwenye Mobile Networks afu kwenye profile ya laini ya Halotel angalia network mode ikoje? 2G Only, 3G Only au 4G/LTE Only? Change weka Auto uone matokeo kama itakua bado tatizo angalia IMEI numbers kama ziko clean na genuine hajizafanyiwa UBATIZO na wahuni.., Au kama uliwahi kuiflash basi huenda NVRAM ime corrupt hii huwa ni partition ndogo sana kwenye ROM ya simu na ndo huwa imebeba configurations za network na IMEI kwenye ROM ikizingua tu basi tatzo simu inakua inashika network mjini tu..