Mimi ni simba damu, lakini kwa kauli ya mwenyekiti wa TFF kumkashifu MH. TUNDU LISSU, nimefarijika sana na magoli haya tuliyo bugizwa, hii ni zawadi njema sana kwa MH. TUNDU LISU, na kichapo hiki ni burudani kwetu kwa kuwa TFF linawahusu.. WALLACE umelikoroga linywe lote 5 super.