bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Wewe gongowazi lini umecheza huku kwa wanaojua mpira..c unamiaka ishirini hii hatua alipofika simba kwenye haya mashindano umeishia kuiona kwenye tvπππHao maboya wamezoea kucheza na KFC ndanda na wengineo wanajua mpira ndo huo wakikutana na wanaume wa shoka wanakuwa Kama kuku mwenye udondo. Yakiwa hapa basi mdomo sana kisa kumfunga ruvu shooting pumbafu zenu simba
Huyo Al Ahly alikula moja Dar kwa Yangu kwake akashinda 2:1Wewe gongowazi lini umecheza huku kwa wanaojua mpira..c unamiaka ishirini hii hatua alipofika simba kwenye haya mashindano umeishia kuiona kwenye tvπππ
Kumbe timu yenu inauwezo mkubwa hivyo...inashindwa nini sasa kufika hii hatua aliyofika simba sababu mnamiaka ishirini hii hatua mmeishia kuitazama kwenye tvHuyo Al Ahly alikula moja Dar kwa Yangu kwake akashinda 2:1
Mbona povu mzee baba...nasikia leo mnamechi na kina alikiba..mnawapiga ngapi???πππ