Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,156
Unaongea ki - Uto FCKubebwa ubebwe ww simba na kubweka mnabweka nyie wenyewe, team km Liverpool imebeba ubingwa kwa point different kubwa na bado wanaamin msimu ujao watakuwa na changamoto kubwa lakin ww uliye pewa ubingwa kwa mbeleko unaanza kuvimba kichwa... Duuuuu nyie wanyama amkeni mjue kuwa bila mbeleko za kukariwa na warasi karia nyie ni paka tuu