Ushahidi upo, Star Tv na Tvz walikuwa wanarekodi mechi hiyo, hata wakati Makungu anashuka VIP kwenda kwenye benchi la timu yake waliona, kocha akamuita Uhuru wanaona, beki wa miembeni anamgombeza kipa kwa nini umedaka inaonekana, sema kwa zanzibar nani wa kumshataki Makungu???