Kwa uchungu sana, lakini ndio reality.Hilo ndio ninaloweza kusema. Tatizo hata kocha mpya haitosaidia kama itaendelea kuwa na njemba hizi hizi
Ukweli wachezaji wamechoka , hata wao hawajui tena nini cha kufanya . Wame offer all that they have. Na tukubali kuwa uwezo wao umegotea hapo.
Ukiangalia Yanga, mpira wake ……. Hata wakirudiana na SSC mara 10 , SSC bado itafungwa goli sio chini ya 5 .
Yaani SSC haina mipango endelevu, mpaka timu inafikia hatua hii. Literally tumejaza watu wa hovyo kwenye management.
SSC inahitaji reforms kuanzia management,
Benchi la Ufudi
na wachezaji.
hili la kocha ni moja Kati ya hayo manne.
Ukisolve ishu ya kocha ukaacha management na benchi la ufundi lilelile…….. na wachezaji wale wale bado hujatatua tatizo.
Ili kutatua tatizo la sasa kwa SSC. Ni lazima benchi la ufundi lisafishwe,
management isafishwe na kukwekwa vijana wenye IQ na chachu ya mabadiliko kwenye nafasi za CEO,
kusafisha wachezaji almost wote kuanzia Kennedy , chama, Mikison M Hussein, Saido , Boko , Marasta etc etc kwa sasa hawana Tena cha ku offer , wana tafuta riziki tu , we respect them but prime yao ilishaisha na tunakumbuka history zao but kwa sasa organization goals na goals zao ni tofauti….. we must accept hilo if we are to prosper
Chama bado yupo SSC kupitia background yake tu but sio kiutendaji …… mikison the same ….. Saido sijui hata aliingiaje SSC , tunaviongozi vichwa maji wasiokuwa na future wala akili , kazi kupoteza muda kwenye mitandao kwa kumtumia yule kijana wa mipasho na hashua. Investment kubwa ipo kwa social media , kwenye pitch ni mtihani
SSC ni kusajili vijana under 30 wenye kasi na nguvu kama walivofanya wenzenu Yanga.
Kuteaua independent Committee ya Scouting isiyoingililiwa na itakuwa reliable for whatever…..
tofauti na hapo mtamtafuta mchawi na hamtompata unless mkienda kumuangalia kwenye kioo ndio mtamuona.
Huwezi kutatua matatizo yale yale kwa kutumia management ile ile , wachezaji wale wale , bench la ufundi lile lile……. Never on earth [emoji290]
This time robo fainali hamtoboi
HM
Amefungua group la whatsapp, mashabiki wa Simba SC tutoe maoni yetu huko.Hakika umeneno vyema umegonga kwenye mshuno kabsa. Kwa mfano huyu CEO Mpya toka atue simba amefanya Nini cha maana ? Yani hanamipango kabsa yupo yupo tu
Hilo ndio ninaloweza kusema. Tatizo hata kocha mpya haitosaidia kama itaendelea kuwa na njemba hizi hizi
Ukweli wachezaji wamechoka , hata wao hawajui tena nini cha kufanya . Wame offer all that they have. Na tukubali kuwa uwezo wao umegotea hapo.
Ukiangalia Yanga, mpira wake ……. Hata wakirudiana na SSC mara 10 , SSC bado itafungwa goli sio chini ya 5 .
Yaani SSC haina mipango endelevu, mpaka timu inafikia hatua hii. Literally tumejaza watu wa hovyo kwenye management.
SSC inahitaji reforms kuanzia management,
Benchi la Ufudi
na wachezaji.
hili la kocha ni moja Kati ya hayo manne.
Ukisolve ishu ya kocha ukaacha management na benchi la ufundi lilelile…….. na wachezaji wale wale bado hujatatua tatizo.
Ili kutatua tatizo la sasa kwa SSC. Ni lazima benchi la ufundi lisafishwe,
management isafishwe na kukwekwa vijana wenye IQ na chachu ya mabadiliko kwenye nafasi za CEO,
kusafisha wachezaji almost wote kuanzia Kennedy , chama, Mikison M Hussein, Saido , Boko , Marasta etc etc kwa sasa hawana Tena cha ku offer , wana tafuta riziki tu , we respect them but prime yao ilishaisha na tunakumbuka history zao but kwa sasa organization goals na goals zao ni tofauti….. we must accept hilo if we are to prosper
Chama bado yupo SSC kupitia background yake tu but sio kiutendaji …… mikison the same ….. Saido sijui hata aliingiaje SSC , tunaviongozi vichwa maji wasiokuwa na future wala akili , kazi kupoteza muda kwenye mitandao kwa kumtumia yule kijana wa mipasho na hashua. Investment kubwa ipo kwa social media , kwenye pitch ni mtihani
SSC ni kusajili vijana under 30 wenye kasi na nguvu kama walivofanya wenzenu Yanga.
Kuteaua independent Committee ya Scouting isiyoingililiwa na itakuwa reliable for whatever…..
tofauti na hapo mtamtafuta mchawi na hamtompata unless mkienda kumuangalia kwenye kioo ndio mtamuona.
Huwezi kutatua matatizo yale yale kwa kutumia management ile ile , wachezaji wale wale , bench la ufundi lile lile……. Never on earth [emoji290]
This time robo fainali hamtoboi
HM
Akili ileile haiwezi kutatua matatizo yaliyosababishwa na akili hiyohiyoHilo ndio ninaloweza kusema. Tatizo hata kocha mpya haitosaidia kama itaendelea kuwa na njemba hizi hizi
Ukweli wachezaji wamechoka , hata wao hawajui tena nini cha kufanya . Wame offer all that they have. Na tukubali kuwa uwezo wao umegotea hapo.
Ukiangalia Yanga, mpira wake ……. Hata wakirudiana na SSC mara 10 , SSC bado itafungwa goli sio chini ya 5 .
Yaani SSC haina mipango endelevu, mpaka timu inafikia hatua hii. Literally tumejaza watu wa hovyo kwenye management.
SSC inahitaji reforms kuanzia management,
Benchi la Ufudi
na wachezaji.
hili la kocha ni moja Kati ya hayo manne.
Ukisolve ishu ya kocha ukaacha management na benchi la ufundi lilelile…….. na wachezaji wale wale bado hujatatua tatizo.
Ili kutatua tatizo la sasa kwa SSC. Ni lazima benchi la ufundi lisafishwe,
management isafishwe na kukwekwa vijana wenye IQ na chachu ya mabadiliko kwenye nafasi za CEO,
kusafisha wachezaji almost wote kuanzia Kennedy , chama, Mikison M Hussein, Saido , Boko , Marasta etc etc kwa sasa hawana Tena cha ku offer , wana tafuta riziki tu , we respect them but prime yao ilishaisha na tunakumbuka history zao but kwa sasa organization goals na goals zao ni tofauti….. we must accept hilo if we are to prosper
Chama bado yupo SSC kupitia background yake tu but sio kiutendaji …… mikison the same ….. Saido sijui hata aliingiaje SSC , tunaviongozi vichwa maji wasiokuwa na future wala akili , kazi kupoteza muda kwenye mitandao kwa kumtumia yule kijana wa mipasho na hashua. Investment kubwa ipo kwa social media , kwenye pitch ni mtihani
SSC ni kusajili vijana under 30 wenye kasi na nguvu kama walivofanya wenzenu Yanga.
Kuteaua independent Committee ya Scouting isiyoingililiwa na itakuwa reliable for whatever…..
tofauti na hapo mtamtafuta mchawi na hamtompata unless mkienda kumuangalia kwenye kioo ndio mtamuona.
Huwezi kutatua matatizo yale yale kwa kutumia management ile ile , wachezaji wale wale , bench la ufundi lile lile……. Never on earth [emoji290]
This time robo fainali hamtoboi
HM
Ameanzisha group la whatsup alafu wewe huoni alichofanya[emoji1787]Hakika umeneno vyema umegonga kwenye mshuno kabsa. Kwa mfano huyu CEO Mpya toka atue simba amefanya Nini cha maana ? Yani hanamipango kabsa yupo yupo tu
Wakati wa Mechi Mangungu na Jaribu Tena wameteta Muda mrefu Sana, nadhani kesho watajiuzulu.Hilo ndio ninaloweza kusema. Tatizo hata kocha mpya haitosaidia kama itaendelea kuwa na njemba hizi hizi
Ukweli wachezaji wamechoka , hata wao hawajui tena nini cha kufanya . Wame offer all that they have. Na tukubali kuwa uwezo wao umegotea hapo.
Ukiangalia Yanga, mpira wake ……. Hata wakirudiana na SSC mara 10 , SSC bado itafungwa goli sio chini ya 5 .
Yaani SSC haina mipango endelevu, mpaka timu inafikia hatua hii. Literally tumejaza watu wa hovyo kwenye management.
SSC inahitaji reforms kuanzia management,
Benchi la Ufudi
na wachezaji.
hili la kocha ni moja Kati ya hayo manne.
Ukisolve ishu ya kocha ukaacha management na benchi la ufundi lilelile…….. na wachezaji wale wale bado hujatatua tatizo.
Ili kutatua tatizo la sasa kwa SSC. Ni lazima benchi la ufundi lisafishwe,
management isafishwe na kukwekwa vijana wenye IQ na chachu ya mabadiliko kwenye nafasi za CEO,
kusafisha wachezaji almost wote kuanzia Kennedy , chama, Mikison M Hussein, Saido , Boko , Marasta etc etc kwa sasa hawana Tena cha ku offer , wana tafuta riziki tu , we respect them but prime yao ilishaisha na tunakumbuka history zao but kwa sasa organization goals na goals zao ni tofauti….. we must accept hilo if we are to prosper
Chama bado yupo SSC kupitia background yake tu but sio kiutendaji …… mikison the same ….. Saido sijui hata aliingiaje SSC , tunaviongozi vichwa maji wasiokuwa na future wala akili , kazi kupoteza muda kwenye mitandao kwa kumtumia yule kijana wa mipasho na hashua. Investment kubwa ipo kwa social media , kwenye pitch ni mtihani
SSC ni kusajili vijana under 30 wenye kasi na nguvu kama walivofanya wenzenu Yanga.
Kuteaua independent Committee ya Scouting isiyoingililiwa na itakuwa reliable for whatever…..
tofauti na hapo mtamtafuta mchawi na hamtompata unless mkienda kumuangalia kwenye kioo ndio mtamuona.
Huwezi kutatua matatizo yale yale kwa kutumia management ile ile , wachezaji wale wale , bench la ufundi lile lile……. Never on earth [emoji290]
This time robo fainali hamtoboi
HM
🤣😂🤣🤣Bocco tema Mara mbili
Try na mangungu hata sura zao tu zinnasadifu mengi Sana hao watu.
Nasikia wachezaji wote wa Simba ni mashabiki wa Yanga. Yaani wapo kimwili Simba ila kiakili Yanga.Hilo ndio ninaloweza kusema. Tatizo hata kocha mpya haitosaidia kama itaendelea kuwa na njemba hizi hizi
Ukweli wachezaji wamechoka , hata wao hawajui tena nini cha kufanya . Wame offer all that they have. Na tukubali kuwa uwezo wao umegotea hapo.
Ukiangalia Yanga, mpira wake ……. Hata wakirudiana na SSC mara 10 , SSC bado itafungwa goli sio chini ya 5 .
Yaani SSC haina mipango endelevu, mpaka timu inafikia hatua hii. Literally tumejaza watu wa hovyo kwenye management.
SSC inahitaji reforms kuanzia management,
Benchi la Ufudi
na wachezaji.
hili la kocha ni moja Kati ya hayo manne.
Ukisolve ishu ya kocha ukaacha management na benchi la ufundi lilelile…….. na wachezaji wale wale bado hujatatua tatizo.
Ili kutatua tatizo la sasa kwa SSC. Ni lazima benchi la ufundi lisafishwe,
management isafishwe na kukwekwa vijana wenye IQ na chachu ya mabadiliko kwenye nafasi za CEO,
kusafisha wachezaji almost wote kuanzia Kennedy , chama, Mikison M Hussein, Saido , Boko , Marasta etc etc kwa sasa hawana Tena cha ku offer , wana tafuta riziki tu , we respect them but prime yao ilishaisha na tunakumbuka history zao but kwa sasa organization goals na goals zao ni tofauti….. we must accept hilo if we are to prosper
Chama bado yupo SSC kupitia background yake tu but sio kiutendaji …… mikison the same ….. Saido sijui hata aliingiaje SSC , tunaviongozi vichwa maji wasiokuwa na future wala akili , kazi kupoteza muda kwenye mitandao kwa kumtumia yule kijana wa mipasho na hashua. Investment kubwa ipo kwa social media , kwenye pitch ni mtihani
SSC ni kusajili vijana under 30 wenye kasi na nguvu kama walivofanya wenzenu Yanga.
Kuteaua independent Committee ya Scouting isiyoingililiwa na itakuwa reliable for whatever…..
tofauti na hapo mtamtafuta mchawi na hamtompata unless mkienda kumuangalia kwenye kioo ndio mtamuona.
Huwezi kutatua matatizo yale yale kwa kutumia management ile ile , wachezaji wale wale , bench la ufundi lile lile……. Never on earth [emoji290]
This time robo fainali hamtoboi
HM
Pale msoma comments anapobadilika kuwa mwandika comments.Mimi nipo kwenye huu uzi kwa lengo la kusoma tu comments. Nothing more. 😇