SIMBA SC huwa wanamkosea wapi Jurko Murshid

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,485
Reaction score
8,667
Jurko Murshid anapokuwa simba huonekana mchezaji wa kawaida sana lakini katika timu ya taifa uganda ni panga pangua je ni simba wanamkosea kumtumia au uganda hawana wachezaji wa kiwango kikubwa katika hiyo nafasi?
 
Wakati simba wanafikiria kuwaacha okwi na jurko

Wamekiwasha kweli kweli!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…