Wewe mkia una uelewa mdogo sana
Concept hapa, ni chanzo cha mapato (bila kujali ni kupitia share holding au kupitia donation)
Kwamba hela ya mikia inatoka wapi
Na hela ya Yanga inatoka wapi
Majibu yake ndio hayo niliyokupa, hela ya mikia inatoka kwa muhindi na hela ya Yanga inatoka kwa Wananchi
Ndio maana muhindi mmoja unaweza ukamteka timu ikayumba, lakini huwezi kuteka Wananchi wote...... Nadhani sasa mkia umenielewa
Sent using
Jamii Forums mobile app