Haisaidii kitu hata nikilinganisha! Na wewe niambie pamoja na Yanga kuwa na magoli machache, Je yupo nafasi ya ngapi? Ninacho ipendea timu yangu hata ikiwa ktk kipindi kibaya cha fedha huwa inapambana! Mmeunda timu kwa gharama kubwa na bado ubingwa hamtachukua!