tunatamani kuwafunga Yanga ,lakini si kwa utani huu! Yanga imesajili baadhi ya wachezaji wa wazuri si wa kubeza kihivyo....mimi ni Simba wa damu,ila tusiwabeze sana wenzetu,kama kweli tunajua Soka.
tunatamani kuwafunga Yanga ,lakini si kwa utani huu! Yanga imesajili baadhi ya wachezaji wa wazuri si wa kubeza kihivyo....mimi ni Simba wa damu,ila tusiwabeze sana wenzetu,kama kweli tunajua Soka.
tunatamani kuwafunga Yanga ,lakini si kwa utani huu! Yanga imesajili baadhi ya wachezaji wa wazuri si wa kubeza kihivyo....mimi ni Simba wa damu,ila tusiwabeze sana wenzetu,kama kweli tunajua Soka.
Mashabiki wa Simba kakote Tanzania hatuna mentality hiyo...Mshabiki wa Simba ni mshindi mda wote hata matokeo katili ya mpira ya kitokea ila Mshabiki wa Simba huwa anaamini ushindi pekee anapokutana dhidi ya yanga
Mashabiki wa Simba kakote Tanzania hatuna mentality hiyo...Mshabiki wa Simba ni mshindi mda wote hata matokeo katili ya mpira ya kitokea ila Mshabiki wa Simba huwa anaamini ushindi pekee anapokutana dhidi ya yanga