Ni kweli kabisa kua kwenye soka lolote linaweza kutokea ila kama Simba watacheza performance ile ile waliyocheza nayo jana basi wataongezwa goli zingine za ziada,
Simba watakua na kibarua kigumu sana cha kuwazuwia Kaizer wasipate goli la ugenini huku wao wakitafuta goli 4 au 5 za kufunga,
Good luck SSC.