Miaka yetu ilikuwa hakuna ganzi na unatahiriwa ukiwa mtu mzima na mavuz* hakuna mtu anakushika usikimbie na hakuna kulia wala kufumba macho unaambiwa kaa hapo chini toa nguo, ngaliba anakuja anaondoa gov* wazee wanakuangalia ngaliba akimaliza unapelekwa porini kuna Ka kibanda Tu sasa ya huko porini ndio huwa hatusimuliagi, na sijawahi kumwambia yeyote
Inshort hakuna demu nimegegeda asifurahi na asione utofauti maana wananiambiaga na demu wangu anakuwa rafiki angu hivyo tunapiga story
Jando sio kitu cha kuweka hadharani ,ni safari inayo badili maisha ya mwanaume ,hakunamadhara ya kumpeleka mtoto tohara ya kimila .Ni ulimbukeni kuacha tamaduni za mababu ,sidhani kama kuna jamii ya afrika isi yo na tohara ya kimili ...
Mm nimetahiriwa tayri nimekula mizigo kadhaa nikiwa na mkono wa sweta. Shida kubwa niliypata ni ile lishe nzri maana ucku lazima nipige ndoto pevu yaan bao linamwagikia kwenye kidonda ***** mtu mzima kilio kinaanza upya
Nakumbuka usiku mmoja nikiwa nimelala sebuleni maza kanitandikia godoro chini na neti nising'atwe ma mbu, nimejiachia mwenyewe nimelala nyamanyama ili kidonda kipate kaupepo flani....muda flan najigeuza si nyuzi za mshono zilijishika kweny netii...aseeee ile siku nilipiga ukungaaa siji sahau