Sijui nimwambie

Registered Members: 115,572.. kama kaka yako wa India sio memba ni bahati.. kama ni memba akifeli huko masomoni sababu itakuwa ni wewe BIREGU, siku nyingine usipende kueleza kila kitu kwenye mitandao dunia sasa hivi ni kama kijiji tu.
 
Last edited by a moderator:

Maneno ya busara haya nimeyapenda.
 
Hii thread napita km vile sijaiona..............unashindwa uanzeje ku-comment, maana unapomaliza kusoma mwili wote unakuwa umepigwa ganzi vile............hadi pumzi unaishiwa kabsa!!
 
As long as ushaikimbia zinaa,dont tel ur brother nothing
 
Bwana mdogo shemeji yako anasumbuliwa na upweke kwa sababu kaka yako yuko mbali.Mimi nakushauri mgonge huyo shemeji yako maana ina onyesha ana n.ege sana usipomgonga ataenda kuwagawia wengine halafu itakuwa hatari kwa kaka yako kwani anaweza kumletea magonjwa, mimi nakushauri kula huo mzigo kwa kutumia ndom tena huyo amekuwa muungana amekufuata wewe kaka mtu, mwingine angetafuta nje wala wewe na kaka yako msingejua.
 
mkonowapaka upaswi kutoa hukumu kwa mdogo wako,lazima ujilidhishe kama kweli huyu nimsemae ndio mke wako kweli,vinginevyo utakuwa unadandia karandinga la polisi
 
Sijui nisemeje,leo nimekutana na jamaa yangu wa siku nyingi ananiomba ushahuri kwa jambo kama hili hili.ana tatizo sawa na lako ,lakini nimemwambia vilevile amwambie ukweli kwani ukweli unaweka huru.
 
mchimbe biti utamweleza bro wk kila kitu
 
Una akili sana wewe. Mkuu usivunje ndoa ya kaka yako. Aliyokwambia shemeji yako kamwe usije kumwambia kaka yako utaiwekea ndoa yao dosari kubwa sana na hata kuivunja.

 

akimtishia tuu atamgeuzia kibao kwa kaka yake kuwa yeye ndio anatongozwa.. Ionekane dogo ndio anamtaka mke wa kaka... Amrekodi maongezi yake,sms kama zipo... Kaka ake akirudi tu alifumue.. ILA AWE NA USHAHIDI
 
Ningekuwa mimi ningeduu nae kwa mkataba.kwamba kaka akirudi hakuna kuduu tena.huyo mama mstaarabu sana,kaona badala ya kumpa mtu wa mbali,bora akupe wewe shemeji.yaani mambo yote ndani kwa ndani.
 
dah!! pagumu hapo, usipomgonga ww atagongwa na wengine ..........
 
We mwambie tu. Unaogopa nini?????? Ila kuwa makini sana katika hilo.SAWA?
 
Go west go east hakuna kucheza mbali na dushelele langu ..chezeya nyege wewe!



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…