Nilisema hapa hapa kuwa Kitendo cha Iran kwa Makusudi Kuishambulia Israel kina Mshindo Mkubwa baadae sikueleweka, ila sasa tutaelewana tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Kudadadeki kamata Kiteknolojia Mfumo wa Mawasiliano hasa wa Ndege(Anga) kisha fuatilia kwa umakini sana Ratiba za Kiongozi wa Juu kisha msetini vyema katika Target na akijaa tu ingilieni Mfumo wa Control Tower na mkimaliza ielekezeni Ndege sehemu Hatarishi ili ama idondoke au tuitungue Kiustadi ili Kisasi chetu tukimalize kwa Kishindo dhidi yao na tuwaonyeshe kuwa Sisi Waisraeli ndiyo WAKALI wa hii MICHEZO na UMAFIA.

Halafu tukishafanikisha Jambo letu huku Wao wakiwa WANALIA Sisi tunajifanya Kukausha na kuwa busy sana na Vita.

Yaani kabisa uhusike katika Kulihujumu Taifa Teule na Mungu Israel halafu eti laana yake Mwenyezi Mungu isikupate?
 
IMG-20240520-WA0089.jpg
 
Genta uko shallow sana, hujui Iran ndio taifa la Kiislam lisilopendwa hata na Waislam wenyewe?
Iran ni ya Washia, Wasunni wote
taifa hilo wanaliona kama taifa la adui tu. Umewahi kusikia Iran wametembeleana na nchi gani ya Kisunni? Jibidiishe kutafuta knowledge
Mimi niko Shallow je, na Wewe kwa huu Unyavunyavu wako Uliotukuka uliouandika hapa ndiyo unakufanya uwe that deep?
 
Kudadadeki kamata Kiteknolojia Mfumo wa Mawasiliano hasa wa Ndege ( Anga ) kisha fuatilia kwa umakini sana Ratiba za Kiongozi wa Juu kisha msetini vyema katika Target na akijaa tu ingilieni Mfumo wa Control Tower na mkimaliza ielekezeni Ndege sehemu Hatarishi ili ama idondoke au tuitungue Kiustadi ili Kisasi chetu tukimalize kwa Kishindo dhidi yao na tuwaonyeshe kuwa Sisi Waisraeli ndiyo WAKALI wa hii MICHEZO na UMAFIA.

Halafu tukishafanikisha Jambo letu huku Wao wakiwa WANALIA Sisi tunajifanya Kukausha na kuwa busy sana na Vita.
 
Yaani kabisa uhusike katika Kulihujumu Taifa Teule na Mungu Israel halafu eti LAANA yake Mwenyezi Mungu isikupate?
 
Kudadadeki kamata Kiteknolojia Mfumo wa Mawasiliano hasa wa Ndege ( Anga ) kisha fuatilia kwa umakini sana Ratiba za Kiongozi wa Juu kisha msetini vyema katika Target na akijaa tu ingilieni Mfumo wa Control Tower na mkimaliza ielekezeni Ndege sehemu Hatarishi ili ama idondoke au tuitungue Kiustadi ili Kisasi chetu tukimalize kwa Kishindo dhidi yao na tuwaonyeshe kuwa Sisi Waisraeli ndiyo WAKALI wa hii MICHEZO na UMAFIA.

Halafu tukishafanikisha Jambo letu huku Wao wakiwa WANALIA Sisi tunajifanya Kukausha na kuwa busy sana na Vita.
Speculations
 
Back
Top Bottom