Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,454 Reaction score 1,569 Jun 25, 2015 #21 msumeno said: Ujonga ndio nini mkuu,,, au ni kinyakyusa Click to expand... Makosa ya kiandishi UJINGA. Kiswahili kabisa
msumeno said: Ujonga ndio nini mkuu,,, au ni kinyakyusa Click to expand... Makosa ya kiandishi UJINGA. Kiswahili kabisa
SIDANGANYIKI2015 JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 1,054 Reaction score 114 Jun 25, 2015 #22 Apologise lady said: Usipige tu, maana hata ukipiga bado tutaiba kura na tutashinda. Click to expand... Wewe ni nani vile hapa Tz? na una cheo gani?kuwa wazi maana kauli yako inatoa harufu mbaya aisee!
Apologise lady said: Usipige tu, maana hata ukipiga bado tutaiba kura na tutashinda. Click to expand... Wewe ni nani vile hapa Tz? na una cheo gani?kuwa wazi maana kauli yako inatoa harufu mbaya aisee!
Apologise lady JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 5,980 Reaction score 3,115 Jun 25, 2015 #23 SIDANGANYIKI2015 said: Wewe ni nani vile hapa Tz? na una cheo gani?kuwa wazi maana kauli yako inatoa harufu mbaya aisee! Click to expand... Mimi ni Mutu hapa Tanzania, cheo changu ni muiba kura mkuu.
SIDANGANYIKI2015 said: Wewe ni nani vile hapa Tz? na una cheo gani?kuwa wazi maana kauli yako inatoa harufu mbaya aisee! Click to expand... Mimi ni Mutu hapa Tanzania, cheo changu ni muiba kura mkuu.
msumeno JF-Expert Member Joined Aug 3, 2009 Posts 2,826 Reaction score 1,738 Jun 25, 2015 Thread starter #24 SIDANGANYIKI2015 said: Kwi kwi kwi kamanda naona unasimamia shoo! Hao tutapiga badala yao acha wachangie uchumi wa ulaya tu! Click to expand... Hapana niko Africa na mshahara wangu unaingia TZ kila mwezi, walau nachangia ku imarisha dollar
SIDANGANYIKI2015 said: Kwi kwi kwi kamanda naona unasimamia shoo! Hao tutapiga badala yao acha wachangie uchumi wa ulaya tu! Click to expand... Hapana niko Africa na mshahara wangu unaingia TZ kila mwezi, walau nachangia ku imarisha dollar