Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
La maana raisi acheze na zile nafasi zake za kuteuwa wabunge. Ateuwe watu vichwa na awape wizara nyeti. Aangalie kwa makini wale waliochaguliwa na wananchi kama wapo vichwa, wapewe uwaziri.
😁Sio rahisi kupata Watu wa maana miongoni mwa Wabunge wa majimbo kwa kuwa Mchakato wa kuwapata ni wa kihuni sana
Imagine Mtu kama Prof Assad anaweza kweli kwenda kutenegeneza Majungu na makundi ya Mitandao majimboni sijui kukesha kwa Wajumbe wa Serikali za mitaa, sijui kuhonga honga wapiga kura, kujipendekeza kwa Wajumbe, Wajumbe wa NEC na Kamati kuu
Ukishapitishwa na chama uanze sasa heka heka na mikakati ya kupanga Mawakala wako, kununua wa wapinzani wako,
Siku ya kupiga kura ununue zile hot pot kubwa sana za chakula, wakati wa Lunch sehemu kubwa ya hot pot inajazwa kura feki na kiugali kama ngumi tu…Wakala anakula Ugali wake huku akikamilisha Mikakati ya kuchomeka zile kura za kwny hot pot kwenye sanduku akishashiba ugali
Tusahau Watu smart Bungeni hasa kwa Wabunge wa majimbo wa kutoka pande zote za vyama…usipokuwa Muhuni huwezi kuwa Mbunge wa jimbo zama hizi
Hayo machungwa 50, unayala yote!! KaziKwenye somo la statistics ukiwa na idadi ya machungwa elfu moja na ukataka kujiridhisha kwamba ni matamu na yana maji mengi ili uyanunue na kwenda kutengeneza juice itakulazimu uchukue sample ya machungwa 50 (ambayo ni 5% ya machungwa yote) ikitokea hayo machungwa 50, ambayo umeyachagua randomly, ni makali na hayana maji maana yake ni kwamba tatizo kuu liko kwenye huo mzigo wa machungwa elfu moja...
Katika hii list Msukuma mtoe hapa,ana akili kuwazidi asilimia 75 ya Wabunge wote.Hayati Magufuli alipata hii shida ikabidi akope wabunge wa Chadema akina Mwita Waitara na Dr Mollel na kuwapa uwaziri.
Na sasa ni kama tatizo bado lipo Waziri wa ulinzi bado hajateuliwa labda mama Tax ataokoa jahazi kwa kwenda wizara ya tax na yule mwanayanga kwenda ulinzi.
CCM tujitahidi kuchagua wabunge wenye sifa siyo hawa akina Kibajaji, Babu Tale Kinanasi, Tabasamu, Musukuma Jah people nk..nk
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Gwajima na Msukuma wana akili nyingi zaidi ya mawaziri.Mfumo wetu wa kupata wabunge ni mbovu mtu anayejua kupiga domo na mwenye fedha anahonga wajumbe wa CCM halafu wanampitisha wakienda kwenye uchaguzi mkuu TISS na Polisi wanawapitisha kuwa wabunge sasa hapo unategemea kupata mtu wa maana kwenye nafasi hiyo? Walihangaika kupitisha watu wenye uwezo mdogo kuwa wabunge hatimaye wamekosa watu wa kuwateua kuwa mawaziri.
Watu kama Babu Tale,Msukuma,Kibajaji,Kigwangala,Zungu,Gwajima na wengineo hawakustahili hata kuwa Wenyeviti wa vijiji.Uwezo wao wa kupiga porojo na kuhonga vijisenti ndiyo umesababisha kufika hapo walipo.
Hahahahaha. . nimecheka yaaniUzuri ni kwamba, CCM wenyewe mnajua kwamba mmejaza vilaza kwenye chama chenu!
Mpeni babu Tale wizara ya fedha dadeki zenu. Mlivyokua mnaiba kura mlitegemea nini?
Wenye sifa za kuwa ubunge wanaachwa wanapewa wenye kujua kupiga pambio mradi kama anajua kusoma na kuandika tu. Kwa nini watunga sheria wanakuwa darasa la saba wakati huo anayetekeleza lazima awe na degree.Hayati Magufuli alipata hii shida ikabidi akope wabunge wa Chadema akina Mwita Waitara na Dr Mollel na kuwapa uwaziri.
Na sasa ni kama tatizo bado lipo Waziri wa ulinzi bado hajateuliwa labda mama Tax ataokoa jahazi kwa kwenda wizara ya tax na yule mwanayanga kwenda ulinzi.
CCM tujitahidi kuchagua wabunge wenye sifa siyo hawa akina Kibajaji, Babu Tale Kinanasi, Tabasamu, Musukuma Jah people nk..nk
Nawatakia Sabato yenye baraka!
kibwangala wezi tu waleWapo akina Kigwangalla bwashee!
Wabunge wenu walioingizwa kijambazi mjengoni kwa kura za kwenye mabegi ni vilaza wa kutupwa, imagine babu Tale naye ni Mbunge upuuzi mtupuHayati Magufuli alipata hii shida ikabidi akope wabunge wa Chadema akina Mwita Waitara na Dr Mollel na kuwapa uwaziri.
Na sasa ni kama tatizo bado lipo Waziri wa ulinzi bado hajateuliwa labda mama Tax ataokoa jahazi kwa kwenda wizara ya tax na yule mwanayanga kwenda ulinzi.
CCM tujitahidi kuchagua wabunge wenye sifa siyo hawa akina Kibajaji, Babu Tale Kinanasi, Tabasamu, Musukuma Jah people nk..nk
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Huyo anayemaliza watoto wake kwa makafara ili apate uwaziri? Masihara hayoWapo akina Kigwangalla bwashee!
Wametujazia hivi mjengoniMmeacha watu wanaofit wapo wengi Sana mmechagua viazi
Wengi huangushwa na "Upekuzi" aka vetting!Hayati Magufuli alipata hii shida ikabidi akope wabunge wa Chadema akina Mwita Waitara na Dr Mollel na kuwapa uwaziri.
Na sasa ni kama tatizo bado lipo Waziri wa ulinzi bado hajateuliwa labda mama Tax ataokoa jahazi kwa kwenda wizara ya tax na yule mwanayanga kwenda ulinzi.
CCM tujitahidi kuchagua wabunge wenye sifa siyo hawa akina Kibajaji, Babu Tale Kinanasi, Tabasamu, Musukuma Jah people nk..nk
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Ni kwasababu CCM kuna uhaba mkubwa sana wa watu wa maana.