Sifa za wanawake/wadada wanene

Asante sana amani imerejea,
ila naomba ushauri wa namna hii wape pia KE wenzio
wawe wanatuvumilia na kutufariji licha ya hali ya umbilikimo
wa Abdalah Kichwa wazi maana siku zote twasema
A man brags about his peni.s however tiny / small it is.

uwe na Amani zote
 
Mkuu ume4gt hii... Huwa ni raha sana kumzamia chumvini n hususan kunyonya kis**i chake n kilivo kikubwa mpk raha yan... Napenda sana! Nna dream ya kuleta jiko nene ndan, .... Af wanakuaga n michirizi flan iv, yan me ile nkiionaga uwa akili yote inarukaaa ... Tena haswa iwepo sehemu za mapajani kuanzia magotini me nakua hoi.... Yan duhh! Hawaniish hamu
 
Ashakuum si matusi
wanawake wanene tumbo hapo hapo
kiuno hapo hapo
matiti hapo hapo
makalio hapo hapo

kiufupi wapo kama vipande vya magogo

Hahahah wew jamaa umeuuuuuuu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜΅
 
Wale team BBW lovers ... "Beutiful Black Women".... tufahamianeniii
 
Shunie si kwa sifa zote hizo km nashawishika kutoka wastani kwenda kwenye ubonge,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…