mkuu hapo bora za private kama hiyo Feza, ila huko kibaha,minaki sijui Ilboru na nyingine za serikali ni jitihada yako tu, bora usome mikoa ya dar au pwani maana unakuwa karibu na twisheni nyingi... na competition ni kubwa hivyo ndio maana watu wanafaulu sana hayo masomo.