INAUZWA Shule inauzwa Dodoma mjini, bei ni Tsh. Milioni 250

INAUZWA Shule inauzwa Dodoma mjini, bei ni Tsh. Milioni 250

Dalali_wa_kimataifa

Senior Member
Joined
Apr 16, 2025
Posts
116
Reaction score
103
Eneo linaukubwa wa 33,260sqm. Eneo lina hati ya mradi wa shule/taasisi. Kuna majengo ya madarasa ma4 na ofisi 4 na nyumba ya vyumba vitatu

Eneo lipo mtaa wa pinda, dodoma mjini

Bei ni tsh 250m
Call/WhatsApp +255758844717

Call/WhatsApp +255758844717

IMG-20250630-WA0804.jpg
IMG-20250630-WA0802.jpg
IMG-20250630-WA0649.jpg
IMG-20250630-WA0652.jpg
IMG-20250630-WA0647.jpg
IMG-20250630-WA0648.jpg

 
Na hiyo Treni kuna utulivu kweli hapo?...achana na barabara hiyo....mbona vichakani sana?..aisee
 
Eneo linaukubwa wa 33,260sqm. Eneo lina hati ya mradi wa shule/taasisi. Kuna majengo ya madarasa ma4 na ofisi 4 na nyumba ya vyumba vitatu

Eneo lipo mtaa wa pinda, dodoma mjini

Bei ni tsh 250m
Call/WhatsApp +255758844717

Call/WhatsApp +255758844717

View attachment 3389141View attachment 3389142View attachment 3389143View attachment 3389144View attachment 3389145View attachment 3389146
View attachment 3389147
Ina mtaji wa wanafunzi wangapi wa kuanzia?
 
Imekuwaje hadi kuuza, hayo mauzo ni pamoja na walimu ? Kwa jina la shule mikopo ni kiasi gani huko kwenye taasisi? Ina hadi darasa la ngapi? Je walimu na watoa huduma wengine wanadai kiasi gani na nani atawalipa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom