Shikamoo Kamikaze

Wanawake,wanawake mnatongoza wanaume jf kwanini maneno haya usimtafute mwenyewe umwambie mnajizalilosha 2 humu.
 
Kwani pesa za urithi ni haramu? kama Baba'ko alikuwa mzembe usiwaonee mtimanyongo walioandaliwa future na wazazi wao.

Kama unadhani kurithi pesa ni kazi rahisi basis na we we waandalie watoto wako urithi huo.
Lkn hajaongea kwa ubaya amesema tu
 
Juzi nilihudhuria show ya Jide Villa park nilimsikia akisema ukimpenda MTU mueleze na siyo kumchafuwa, nadhani mleta mada ametumia Uhuru wake wa kianti Magufuli.

Na wale wanaovutiwa na Matola licha Ya kuwa na sura ngumu mnaruhusiwa kushow love pia.
Me nakupenda ili hali sijui sura yako inafananaje
 
Hahahhh
 
Kuna mama wa BBC anaitwa Zuhura Yunus...walai huyu mama sijui kaufanyaje moyo wanguu nitamwanzishia uzi
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Natumain uzi huo ujajaa maishairi na Utenzi wenye Nyama na Maziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…