Shibuda awa mwenyekiti mpya CHADEMA mkoa wa Shinyanga

Chadema wawe makini kwani kwa sasa ni mbadala wa CCM, uwezekano wa kuongoza TZ unajionyesha kwa CCM sasa kutekeleza sera zake kwa kuziigiza. Hivyo wawe makini na viongozi mapandikizi au wenye tamaa ya madaraka. Tunawaombea Chadema mje mshinde uchaguzi ili muikomboe TZ.
 
Hili linanipa mashaka.Huyu shibuda ni wa kumuondoa mapema kabla hajakomaa na kuweka gamba.
Binafsi siungi mkono huyu mtu kupewa nafasi yoyote ndani ya CHADEMA.
 
Akiharibu shauri lake kimsingi tumemweka hapo strategically ili tupate kumuasses moja kwa moja kutoka kwenye site and from there we can conclude...nani kakwambia CDM is good for nothing
 
Let him be! Tunaimani na kamati iliyokaa na kuona Shibuda ndiye anayefaa kusogeza jahazi kufika pwani!
 
My only concern is his mental stability...He has a number of personalities which makes him unpredictable.HE IS A TIME BOMB.
 
Hofu za kijinga zinawasumbua akina yakhe.....yaani hamna aibu kabisaaa kusema kuwa shibuda hajahama kiroho ccm,hamjui lolote kabisaaa,bora aseme mtu asiye mtumishi wa makao makuu au asiye mwanachama wa karibu kuliko ninyi vibaraka wa ujima....mnajua kabisa madiwani wa shinyanga na wabunge wengi wa huko walipata ushindi chini ya usaidizi wake,pia ndiye aliyesimama kuwasaidia madiwani wa cdm kufungua kesi zao...je makao makuu wanasaidia nn...yaani ipo siku nitaanza kuwataja hewani nyie watu hatari sana kwa chama chetu...na huyo ndiye kiongozi aliyetayari kukaa na watu anytime na kujadili,pia msiote kumleta tumbo huku....hapati kitu.
 
ndo mambo ya siasa hayo ndugu yangu usishangae utaona :A S-confused1: mawengemwenge bure
 
kumbe ni tetesi ! Ningeshangaa sana , nani atahutubia kwenye mikutano ya kinana ?
 
shibuda huyu pandikizi au mwingine? kama ndiye huyu ninayemfahamu labda umekosea badala ya kuandika ccm ukaandika cdm
 
Waache wafu wazike wafu wenzao!
 
Huku sio kaskazini, wanamaamuzi yao na hakuna VIFARANGA HUKU
 
Jamani mimi pamoja na kuwa mwenyeji wa Mkoa wa Shinyanga lakini binafsi simkubali kabisa Shibuda kupewa nafasi kubwa kama hiyo hata kama ana kaimu atakihujumu tu chama katika muda huo...

Naomba TUMAINI MAKENE, BEN SAANANE NA wengine wa Makao makuu watueleze ukweli wa habari hii...
 

mambo ya 2011 haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…