Chadema wawe makini kwani kwa sasa ni mbadala wa CCM, uwezekano wa kuongoza TZ unajionyesha kwa CCM sasa kutekeleza sera zake kwa kuziigiza. Hivyo wawe makini na viongozi mapandikizi au wenye tamaa ya madaraka. Tunawaombea Chadema mje mshinde uchaguzi ili muikomboe TZ.Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.
Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.
Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
shibuda huyu pandikizi au mwingine? kama ndiye huyu ninayemfahamu labda umekosea badala ya kuandika ccm ukaandika cdm
Ni kweli sweetlady, wana JF mnaanza kukosa umakini...yaani watu mnachangamkia na kuanza kuchangia bila hata kuangalia hii thread mfu ilianzishwa lini na huyu ladyfurahia aliyeifukua na kuifufua ana malengo gani.Angalia thread ni ya mwaka gani kwanza!
Waache wafu wazike wafu wenzao!Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.
Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
Huku sio kaskazini, wanamaamuzi yao na hakuna VIFARANGA HUKUSiku zote Shibuda huwa haaminiki kwani mara nyingi anachoongea huwa tofauti na kilicho moyoni mwake au matendo yake, huyu bwana alikuwa/au bado ni UWT sasa vipi kupewa nafasi nyeti ndani ya CDM? ni sawa na leo umchukue Mbowe awe mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kweli hiyo itakuwa imetulia? kwa mtindo huu wasiwasi yangu ni kupoteza majimbo yote ya Shinyanga, WHY NOT MPENDAZOE OR OTHERS THAN SHIBUDA?...Dr Slaa alikuwepo, Mbowe alikuwepo sasa tunaomba ufafanuzi wenu!
CDM haitaongozwa na vibaraka WA CCM.
Hongera Shibuda
Jamani mimi pamoja na kuwa mwenyeji wa Mkoa wa Shinyanga lakini binafsi simkubali kabisa Shibuda kupewa nafasi kubwa kama hiyo hata kama ana kaimu atakihujumu tu chama katika muda huo...
Naomba TUMAINI MAKENE, BEN SAANANE NA wengine wa Makao makuu watueleze ukweli wa habari hii...