TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,284
ficha upumbavu wako....(ukaskazini unakusumbua)tatizo lenu chadema mnataka viongozi wote watokee kaskazini (moshi na arusha) yani watu kama kina zitto na shibuda wanapata tabu kweli kwenye hiki chama,sasa kama chadema kikitaka kife na kionekane ni chama cha wachaga basi wamstopishe shibuda kua mwenyekiti wa shinyanga chadema.nasikia mchezo mzima ameucheza zitto kabwe mwana mapinduzi kijana ambaye ndiyo roho ya uhai wa chadema