wewe endelea kushabikia tu ila uombe mungu pia usijepatwe na hayo matukio kama kumzika ndugu yako, ama kumwagiwa tindikali, n.k. Yule dereva wa mwigulu alikuwa ana kosa gani? Alichofanyiwa na cdm ni cha kulaani. Kwa kauli yako ni sawa na kuunga mkono na kushangilia uovu ule. Omba Mungu yasikupate! Unaweza ukakaa bar unakunywa kwa starehe zako, ikarushwa chupa ikakujeruhi japo hukulengwa!
Wakati fulani NCCR ilikuwa iko juu, ikawa inasemwa sana vibaya, ikadhoofika haikusemwa tena! Ikaja CUF nayo mara majambia mara sijui nini, zama zake zilivyopita haitajwi tena. Sasa ni CHADEMA, kila siku mambo chungu nzima inatajwa kufanya mambo mabaya, sasa swali hapa ni kwa nini kila wakati chama cha upinzani kikianza kuimarika kinasemwa mambo ambayo ni makosaa tuuu, kwa nini? Au ndo DIRTY politics au ni kweli? Hii inatia shaka, hasa kwa mwenye fikra huru, asiyefungamana na upande, inatia shaka tena sana. Siasa za Afrika ni zile RA yule wa Igunga aliziita Maji Taka!
maovu mengine ya chadema haya hapa
1. kulipuwa mabomu soweto~mbowe & lema
2.kumwagia watu tindikali-henry kilewo
3.kutembea na sumu ya kumlisha zito~ben saanane & slaa
4. kupanga kumteka.msacky~lwakatare
5. chacha wangwe-mbowe & deus mallya
maovu mengine ya chadema haya hapa
1. kulipuwa mabomu soweto~mbowe & lema
2.kumwagia watu tindikali-henry kilewo
3.kutembea na sumu ya kumlisha zito~ben saanane & slaa
4. kupanga kumteka.msacky~lwakatare
5. chacha wangwe-mbowe & deus mallya
wewe endelea kushabikia tu ila uombe mungu pia usijepatwe na hayo matukio kama kumzika ndugu yako, ama kumwagiwa tindikali, n.k. Yule dereva wa mwigulu alikuwa ana kosa gani? Alichofanyiwa na cdm ni cha kulaani. Kwa kauli yako ni sawa na kuunga mkono na kushangilia uovu ule. Omba Mungu yasikupate! Unaweza ukakaa bar unakunywa kwa starehe zako, ikarushwa chupa ikakujeruhi japo hukulengwa!
wewe endelea kushabikia tu ila uombe mungu pia usijepatwe na hayo matukio kama kumzika ndugu yako, ama kumwagiwa tindikali, n.k. Yule dereva wa mwigulu alikuwa ana kosa gani? Alichofanyiwa na cdm ni cha kulaani. Kwa kauli yako ni sawa na kuunga mkono na kushangilia uovu ule. Omba Mungu yasikupate! Unaweza ukakaa bar unakunywa kwa starehe zako, ikarushwa chupa ikakujeruhi japo hukulengwa!