Shemale unataka nini? Unikome!!

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,378
Habari ya hapa!!!!!!
Naomba ufahamu kuwa sipendi tabia ya ushoga / usagaji. habari ya kutaka kunitumia kadi ya benki na mirathi uliyoachiwa na wazazi wako ili nikutunzie mpaka utoke huko nnchi za watu sihitaji nilishakuambia usagaji sitaki am a girl and not boy! mitego yako nimeitambua kama ni uhaba wa hela matunzo yaliyopo yananitosha.

Na sijui nani kakwambia upekue maprofl ya watu fb na kuondoka na namba za watu huku hata huwajui unaanza kumtongoza mtu japo unaambiwa mimi ni KE mwenzio wew unakomalia haina tabu umezoea ooh kama nataka hela utanikabidhi kikadi cha benki jamani!!!!!! pia wale walionijaribu hapo zamani huko PM baada ya kuniona kimya saivi mmeibuka tena.

Nasema hivi (msisitizo) shemale mnikomeeeeeeee.
 
Mkuu pole hii tabia imekithiri sana,anataka msiguane VI**mi
 
teh teh teh
tarehe hizi mbaya sana , aiseee

Mishahara watu imekata, wamevurugwa.


Mumkome huyo bidada aseeeee.
siwaelewi kabisaaaa waniepukilie mbaliiiiiii.
 
Hii ni habar ya KWELI au mnatuzuga??? Nimeona MTU ukimtajia neno PESA hata kama alikuwa na msimamo vipi analegeza
 
Maisha ya sasa yalivyo magumu...kwanini wapuuzi kama hao hawanitafuti?
Pesa nakula na hawapati kitu dadeeeeeki
Kwani ata ukiwapa atakufanyia nini?? Mimi ngoja nikutafute pesa hupewi na unaliwa utaambulia dyudyu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…