Shamba linauzwa, liko barabara ya kuelekea Lindi, ukifika Vikindu unaingia kushoto kama km 3 au 4 hivi. Lina mikorosho na miembe na halijalimwa muda mrefu. Kama uko tayari tuwasiliane naweza kukupeleka kuliona. Bei ya kuanzia shs.10mil mazungumzo yapo.