Shamba Linauzwa Mbwawa ,Bagamoyo

Shamba Linauzwa Mbwawa ,Bagamoyo

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,601
Reaction score
2,459
NINI: Shamba la ukubwa wa hekari 22 linauzwa

WAPI: Lipo Mbwawa Mjini,kilichopo kilometa 0.9(Mita 900) toka Bagamoyo road,

LIKOJE: hekari 22 zina ardhi ya mchanga na mfinyazi,eneo hili lipo jirani na mto ruvu, limeendelezwa kwa kulima miti aina ya mitiki michache
pia kuna eneo la kuandalia mkaa.

OFA: Kwa atakayenunua kwa kila hekari hekari 10, Atapatiwa hekari moja bure

BEI: Kila hekari ni shilingi milioni tatu tu.

MAWASILIANO: 0713-039875
 

Attachments

  • BAGAMOYO.PNG
    BAGAMOYO.PNG
    12.6 KB · Views: 34

Similar Discussions

Back
Top Bottom