Nauza shamba lipo katikati ya kiwangwa na wami ni km10 kutoka kiwangwa mjini.Lina ukubwa wa heka 50 na ninauza 1M kwa heka,nauza kuanzia heka 10 hadi heka 50.Linafaa kwa kilimo cha mahindi na ufuta.karibuni sana.Hamna udalali.
Km 10 kuingia ndani kutoka barabara kuu??
Km 10 kuingia ndani kutoka barabara kuu??
Nauza shamba lipo katikati ya kiwangwa na wami ni km10 kutoka kiwangwa mjini.Lina ukubwa wa heka 50 na ninauza 1M kwa heka,nauza kuanzia heka 10 hadi heka 50.Linafaa kwa kilimo cha mahindi na ufuta.karibuni sana.Hamna udalali.